Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema tumshukuru sana Rais Samia Suluhu kwasababu alipoingia madarakani aliamua kwanza kufungua fursa za ajira nchi nzima alitoa vibali vya ajira zaidi ya elfu 55 nchi nzima.
Lakini pia aliongezea kuwa “Mwezi wa pili mwaka huu tunatarajia kuchukua watu 1,769 kutoka kwenye database [kanzidata] na kuondoa ile ya kuwarudisha rudisha kuja kufanya interview [usaili] wakati wameshafaulu. Kazi yetu itakuwa kuwachukua na kuwapangia majukumu mbalimbali.”
Tatizo la ajira linaendelea kutatuliwa vijana tusiwe na wasiwasi Rais Samia Suluhu anahakikisha tatizo hili linaisha kabisa kama usipoajiriwa na serikali anaweka mazingira wezeshi ya kujiajiri.
Lakini pia aliongezea kuwa “Mwezi wa pili mwaka huu tunatarajia kuchukua watu 1,769 kutoka kwenye database [kanzidata] na kuondoa ile ya kuwarudisha rudisha kuja kufanya interview [usaili] wakati wameshafaulu. Kazi yetu itakuwa kuwachukua na kuwapangia majukumu mbalimbali.”
Tatizo la ajira linaendelea kutatuliwa vijana tusiwe na wasiwasi Rais Samia Suluhu anahakikisha tatizo hili linaisha kabisa kama usipoajiriwa na serikali anaweka mazingira wezeshi ya kujiajiri.