mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Nimeshituka sana tangu Jana kuaona ajira za walimu na idadi ya walioomba , kumbuka anayesoma ualimu ni either 1. Mtoto wa maskini 2. Uwezo mdogo shuleni 3. Kama hayo mawili hayapo Basi alikumbwa na matatizo flani kwenye maisha, mimi ni mwalimu ualimu hauwezi kuwa kimbilio , hii idadi ya waliojitokeza inashitua sana na inatosha kuwa salamu kuwa maskini wameongeza kasi ya kuzaa sana hivo serikali ijipange kudhibiti huu mfumuko wa watu wasiokuwa na ajira hivyo ili kudhibiti haya itangaze tu kama ajira ni janga ili mbinu muafaka za kupambana na tatizo zianze kuchukuliwa