BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Oooooh mimi hapa nasikiliza subira yangu ndiyo iliyoniponza,ngoja ngoja naonekana zoba. ,,,kwa banana watasubiri sanaAh ah ah! Mi nipo nasikiliza nzela hapa ya live, banana mkali
Hata nyoshi el sadat ni mwanamuzikiMimi ndio maana siku hizi sitaki hata kubishana na wajinga wajinga kama hawa.
Ni kumshushia hadhi Mwanamuziki Ali Kiba kumlinganisha na msanii Diamond.
Na ndo maana haendelei hazi kuringaaa tuuu hata vya kuringia hana... ChefuuuuSijawah kuona msanii wa bongoflv mwenye maringo kama huyu Ku dah ananata adi anaboa yani" cjui angekua ndio top hapa Tz ingekuwaje. Kuna kipande kingne akihojiwa na millard anasema et ( hana rafiki yy labda abdul kiba..anasema Ben Paul alimpigia simu hakupokea tu ) k anaringa kama anyi
Haya mambo inategemea na style yako ya kuwasilisha mada. Binafsi, probably kutokana na background yangu, SIWEZI kabisa kuongea jambo bila supporting evidence! Siwezi kwenda ng'ambo wasikomfahamu Kiba wala Diamond halafu niseme kwa Tanzania, Kiba yupo juu kuliko Diamond wakati statistics and figures say otherwise... technically, nitakuwa nazungumzia hisia zangu ambazo nikiziendekeza, basi akija mwingine akasema Jux yupo juu kuliko Chris Brown basi sitakiwi kukataa!Alinganisha kifo na usingizi huyu,ivi diamond wamlinganisha na alikiba aseee alafu huyo wakuitwa diamond akiwa onstage anasaidiwa na CD,mchek alkiba anaimba hadi live band