Joe Miles
New Member
- May 8, 2022
- 1
- 0
Habari zenu wana JamiiForums
Naomba kuuliza ama kutoa dukuduku; hivi kwanini baadhi ya Wahadhiri wa vyuo haswa Wahadhiri wa kiume wanakuwaga na tabia ya kuwadhalilisha wanachuo wa kike kingono sana, tena haswa linapokuja suala la mitihani na kutafuta courseworks
Unakuta msichana/mwanamke amefanya kazi vizuri ila tu anafelishwa kimakusudi na ili apite/kufaulu anaombwa atoe rushwa ya ngono kwa mwalimu na akikataa ndo anakomolewa kwa kufelishwa au kupewa kazi ngumu sana na kufanyiwa visa ili tu aone chuo kichungu
Akubali kutoa rushwa ya ngono ama akate tamaa aache chuo kama bado anakuwa na msimamo wake wa kujiheshimu?
Naomba kuuliza ama kutoa dukuduku; hivi kwanini baadhi ya Wahadhiri wa vyuo haswa Wahadhiri wa kiume wanakuwaga na tabia ya kuwadhalilisha wanachuo wa kike kingono sana, tena haswa linapokuja suala la mitihani na kutafuta courseworks
Unakuta msichana/mwanamke amefanya kazi vizuri ila tu anafelishwa kimakusudi na ili apite/kufaulu anaombwa atoe rushwa ya ngono kwa mwalimu na akikataa ndo anakomolewa kwa kufelishwa au kupewa kazi ngumu sana na kufanyiwa visa ili tu aone chuo kichungu
Akubali kutoa rushwa ya ngono ama akate tamaa aache chuo kama bado anakuwa na msimamo wake wa kujiheshimu?