Tatizo la bei za Mafuta ya Petroli kupanda ni Serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo

Tatizo la bei za Mafuta ya Petroli kupanda ni Serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Tatizo la bei za mafuta ya petroli kupanda ni serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo.

Ikumbukwe tunawatalaam wa mafuta. Hakika hawa wangeweza kutuvusha katika kipindi hichi kigumu.

Wangeweza hata kutengeneza mafuta kutoka kwenye makaa ya mawe kwaajili ya kupunguza utegemezi.

Serikali mko wapi huu ndio muda wa kuwatumia watalaam wetu.

Nchi kama China saivi zimeshaongeza operation za mitambo yao ya kubadili makaa ya mawe kuwa mafuta. Hali kadhalika Afrika Kusini.

Tusiwe wazito jamani tutumie watalaam kwenye kila sekta hili swala la mafuta litapatiwa ufumbuzi.
 
Mtanzania akimaliza shule anawaza apate ajira aendeshe maisha, hakuna anayewaza kutumia akili yake, wote tunataka kuajiliwa na kutimiza ndoto za wenzetu watulipe mshahara mwisho wa mwezi..
 
Mtanzania akimaliza shule anawaza apate ajira aendeshe maisha, hakuna anayewaza kutumia akili yake, wote tunataka kuajiliwa na kutimiza ndoto za wenzetu watulipe mshahara mwisho wa mwezi..
Hili lina ukweli kwa asilimia zote
 
Muhongo keshasema hakuna mafuta ziwa viktoria, na ripoti ya manyele inafaa tu kufungia vitumbua.........haifai kukaa kwenye tovuti ya wizara kwani itamwaibisha Le profeseri muhongo ambaye ni mtaalamu nguli kwenye ukanda huu 🤣
 
Tatizo la bei za mafuta ya petroli kupanda ni serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo.

Ikumbukwe tunawatalaam wa mafuta. Hakika hawa wangeweza kutuvusha katika kipindi hichi kigumu.

Wangeweza hata kutengeneza mafuta kutoka kwenye makaa ya mawe kwaajili ya kupunguza utegemezi.

Serikali mko wapi huu ndio muda wa kuwatumia watalaam wetu.

Nchi kama China saivi zimeshaongeza operation za mitambo yao ya kubadili makaa ya mawe kuwa mafuta. Hali kadhalika Afrika Kusini.

Tusiwe wazito jamani tutumie watalaam kwenye kila sekta hili swala la mafuta litapatiwa ufumbuzi.
Tatizo la Tanzania kila mtu ni mjuaji na nadhani unafahamu madhara ya hiyo tabia.

Tanzania kondakta wa daladala anamzidi kocha maarifa ya kufundisha.

Muuza magazeti anamlaumu profesa ya Muhimbili anayetibu binadamu maisha yake yote.

Anayepaa samaki anamkosoa waziri wa fedha. Ni tatizo letu la miaka mingi limeanza tangu enzi za Julius Nyerere.
 
Mafuta ya kupikia/chakula nayo tatizo ni lipi? Nchi gani inayo yazalisha huko duniani ambayo iko vitani. Haya yalianza kuongezeka bei yake kwa kasi ya kutisha kabla ya Petroli.
 
Tatizo la bei za mafuta ya petroli kupanda ni serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo.

Ikumbukwe tunawatalaam wa mafuta. Hakika hawa wangeweza kutuvusha katika kipindi hichi kigumu.

Wangeweza hata kutengeneza mafuta kutoka kwenye makaa ya mawe kwaajili ya kupunguza utegemezi.

Serikali mko wapi huu ndio muda wa kuwatumia watalaam wetu.

Nchi kama China saivi zimeshaongeza operation za mitambo yao ya kubadili makaa ya mawe kuwa mafuta. Hali kadhalika Afrika Kusini.

Tusiwe wazito jamani tutumie watalaam kwenye kila sekta hili swala la mafuta litapatiwa ufumbuzi.
Kijana wa Kitanzania kuifananisha TZ na China ni kukosa heshima, TZ hata mlo Mmoja Kwa siku Kwa familia nyingi ni tabu, viongozi wapo wanawaza uchaguzi 2025, wengine wanawaza Dili zao hakuna ajenda za maendeleo za kitaifa, taasisi nyeti za Serikali ni Tawi la chama tawala acha tu twende ingawa Cha moto tunakipata
 
Kijana wa Kitanzania kuifananisha TZ na China ni kukosa heshima, TZ hata mlo Mmoja Kwa siku Kwa familia nyingi ni tabu, viongozi wapo wanawaza uchaguzi 2025, wengine wanawaza Dili zao hakuna ajenda za maendeleo za kitaifa, taasisi nyeti za Serikali ni Tawi la chama tawala acha tu twende ingawa Cha moto tunakipata
Nini kifanyike sasa
 
Tatizo la Tanzania kila mtu ni mjuaji na nadhani unafahamu madhara ya hiyo tabia.

Tanzania kondakta wa daladala anamzidi kocha maarifa ya kufundisha.

Muuza magazeti anamlaumu profesa ya Muhimbili anayetibu binadamu maisha yake yote.

Anayepaa samaki anamkosoa waziri wa fedha. Ni tatizo letu la miaka mingi limeanza tangu enzi za Julius Nyerere.
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom