Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Wananchi waondoe ujinga wawahoji viongozi, hatuna cheo Cha ufalme TZ kwamba huwezi kuhojiwa,Nini kifanyike sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi waondoe ujinga wawahoji viongozi, hatuna cheo Cha ufalme TZ kwamba huwezi kuhojiwa,Nini kifanyike sasa
Ukiona hivyo ujue Kila mtu anafanya kutibu tumbo lake ubinafsi umemea😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuhoji Tanzania ni kujitafutia matatizoWananchi waondoe ujinga wawahoji viongozi, hatuna cheo Cha ufalme TZ kwamba huwezi kuhojiwa,
Kwahiyo unashaurije mrembo?Kohoji Tanzania ni kujitafutia matatizo
Kwani Bulembo yeye anasemajeKwahiyo unashaurije mrembo?
Uzalishaji kiduchu over demandMafuta ya kupikia/chakula nayo tatizo ni lipi? Nchi gani inayo yazalisha huko duniani ambayo iko vitani. Haya yalianza kuongezeka bei yake kwa kasi ya kutisha kabla ya Petroli.
Kupanda Bei ya mafuta Ina factors za nje pia. Ila serikali ineweza kupunguza tozo ingawa tayari ipo kwenye bajetiTatizo la bei za mafuta ya petroli kupanda ni serikali kushindwa kuwatumia watalaam wa mafuta ipasavyo.
Ikumbukwe tunawatalaam wa mafuta. Hakika hawa wangeweza kutuvusha katika kipindi hichi kigumu.
Wangeweza hata kutengeneza mafuta kutoka kwenye makaa ya mawe kwaajili ya kupunguza utegemezi.
Serikali mko wapi huu ndio muda wa kuwatumia watalaam wetu.
Nchi kama China saivi zimeshaongeza operation za mitambo yao ya kubadili makaa ya mawe kuwa mafuta. Hali kadhalika Afrika Kusini.
Tusiwe wazito jamani tutumie watalaam kwenye kila sekta hili swala la mafuta litapatiwa ufumbuzi.
Form six division Zero anakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa chini yake wanakuwepo ma profesa kama Profesa Baregu,Profesa Lwaitama ,Dr Baba Askofu Dr Bagonza ,na wakili na msomi mbobezi mheshimiwa Tundu Lisu na Baba Askofu mkuu msomi mhashimiwa mhashamu Dr Bandekile Mwamakula nk wote wanapiga saluti kwa form six division zero ya Ihungo sekondari Freeman Mbowe!!Tatizo la Tanzania kila mtu ni mjuaji na nadhani unafahamu madhara ya hiyo tabia.
Tanzania kondakta wa daladala anamzidi kocha maarifa ya kufundisha.
Muuza magazeti anamlaumu profesa ya Muhimbili anayetibu binadamu maisha yake yote.
Anayepaa samaki anamkosoa waziri wa fedha. Ni tatizo letu la miaka mingi limeanza tangu enzi za Julius Nyerere.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Form six division Zero anakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa chini yake wanakuwepo ma profesa kama Profesa Baregu,Profesa Lwaitama ,Dr Baba Askofu Dr Bagonza ,na wakili na msomi mbobezi mheshimiwa Tundu Lisu nk wote wanapiga saluti kwa form six division zero ya Ihungo sekondari Freeman Mbowe!!
Kwa muktadha huo unategemea wasomi waheshimiwe?
😱😱😱😱😱😱😱Kupanda Bei ya mafuta Ina factors za nje pia. Ila serikali ineweza kupunguza tozo ingawa tayari ipo kwenye bajeti
Haya yakula solution ni kulima malizeti, na karanga.
😂😂😂😂😂 kuajiriwa ni ndoto ya 90% ya graduates nchini. Hao 10% ndio wale wakishua ambao wao wamesoma ili kuondoa ujinga tu ila mpango ni kuendeleza makampuni ya wazazi.Mtanzania akimaliza shule anawaza apate ajira aendeshe maisha, hakuna anayewaza kutumia akili yake, wote tunataka kuajiliwa na kutimiza ndoto za wenzetu watulipe mshahara mwisho wa mwezi..
Shida ni kiongozi tulyenaye uwezo ni mdogo...haya mambo ya kufanya maamuzi ya kiume aliyaweza Magufuli.