MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
TATIZO LA CHADEMA NI KUKOSA WAZEE WA USHAURI NDIO MATOKEO YA KINACHOENDELEA.
Utakubaliana na mimi kwamba chama kikubwa cha siasa aina ya Chadema ambacho uhai wake ni zaidi ya miaka 30 kukosa wazee wa Ushauri ni aibu na ndio matokeo ya minyukano inayoendelea kipindi hiki cha Uchaguzi wa wao wa ndani ya chama.
𝐍𝐢 𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐠𝐞𝐤𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐞𝐞 𝐰𝐚 𝐁𝐮𝐬𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐞𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐢𝐭𝐚 𝐌𝐛𝐨𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐋𝐢𝐬𝐬𝐮 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐚𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐠𝐨𝐦𝐛𝐞𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐥𝐚𝐡𝐢 𝐦𝐚𝐩𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚. 𝐁𝐮𝐬𝐚𝐫𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐌𝐛𝐨𝐰𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐔𝐦𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 22 𝐚𝐥𝐢𝐨𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐧𝐠𝐨𝐦𝐛𝐰𝐚 𝐚𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞𝐧𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐚𝐦𝐰𝐚𝐜𝐡𝐢𝐞 𝐋𝐢𝐬𝐬𝐮. 𝐍𝐢 𝐝𝐡𝐚𝐡𝐢𝐫𝐢 𝐡𝐚𝐲𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐨𝐬𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐡𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢. 𝐌𝐢𝐧𝐲𝐮𝐤𝐚𝐧𝐨 𝐡𝐢𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐦𝐬𝐚𝐟𝐢𝐬𝐡𝐢𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚 𝐌𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐦𝐢𝐚 2025 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚𝐧𝐨 𝐃𝐨𝐥𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐭𝐢𝐚 "𝐀𝐛𝐝𝐮𝐥" 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐞𝐥𝐞𝐤𝐞𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚. 𝐊𝐮𝐭𝐨𝐤𝐮𝐰𝐞𝐩𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐳𝐞𝐞 𝐰𝐚 𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐢 𝐔𝐝𝐡𝐚𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐌𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞𝐤𝐢𝐭𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐧𝐝𝐢𝐲𝐞 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚.
Amesikika Mhe Lissu akisema kwamba Uchaguzi mkuu wa chama taifa husimamiwa na wazee wa chama. Amesema hajui hata wazee wa Chama ni kina nani maana huko nyuma wazee wa Chama walikua kina Mzee Mtei, Mzee Bob Makani, Ndesamburo, Mzee Arcado Ntagazwa,Profesa Baregu, Profesa Safari nk. Lakini gawa Wazee hawa hawapo kwenye Chama kwa sasa. Kama Makamu Mwenyekiti wa Chama anasema hawajui wazee wa Cham, hivi hali ikoje? Bado tunaona tu Mbowe anastahili kuendelea kukiongoza CHADEMA kwa madhaifu kama haya kweli?
Mbowe alikua na uwezo wa kutafuta hata wazee wa chama kutoka wastaafu wa Chama katika ngazi za kanda na mikoa. Siyo lazima wawe wa ngazi ya taifa. Pia hii ya kukosa wazee wa chama ngazi ya taifa ni kwa sababu ya kukaa madarakani kwa muda mrefu, miaka 20 kungekua hata na wazee 2 wa nyadhifa za uenyekiti. Makatibu wakuu na manaibu wastaafu.
Hata BAZECHA pia inaweza kutoa wazee wa ushauri wangewakalisha hawa watu kukinusuru chama.
Honestly, tukienda kwenye uhalisia wa upepo wa ndani na nje ya Chama, Lissu ndiye mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Chama kuliko mbowe, hii ilikua ni turufu pekee ya chama. Lakini Mbowe ameamua Chama kimfie mikononi anaangalia. Ni dhahiri kabisa kwamba Mbowe hajashauriwa.
Utakubaliana na mimi kwamba chama kikubwa cha siasa aina ya Chadema ambacho uhai wake ni zaidi ya miaka 30 kukosa wazee wa Ushauri ni aibu na ndio matokeo ya minyukano inayoendelea kipindi hiki cha Uchaguzi wa wao wa ndani ya chama.
𝐍𝐢 𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐠𝐞𝐤𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐞𝐞 𝐰𝐚 𝐁𝐮𝐬𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐞𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐢𝐭𝐚 𝐌𝐛𝐨𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐋𝐢𝐬𝐬𝐮 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐚𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐠𝐨𝐦𝐛𝐞𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐥𝐚𝐡𝐢 𝐦𝐚𝐩𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚. 𝐁𝐮𝐬𝐚𝐫𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐌𝐛𝐨𝐰𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐔𝐦𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 22 𝐚𝐥𝐢𝐨𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐧𝐠𝐨𝐦𝐛𝐰𝐚 𝐚𝐤𝐮𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞𝐧𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐚𝐦𝐰𝐚𝐜𝐡𝐢𝐞 𝐋𝐢𝐬𝐬𝐮. 𝐍𝐢 𝐝𝐡𝐚𝐡𝐢𝐫𝐢 𝐡𝐚𝐲𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐨𝐬𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐡𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢. 𝐌𝐢𝐧𝐲𝐮𝐤𝐚𝐧𝐨 𝐡𝐢𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐦𝐬𝐚𝐟𝐢𝐬𝐡𝐢𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚 𝐌𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐦𝐢𝐚 2025 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚𝐧𝐨 𝐃𝐨𝐥𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐭𝐢𝐚 "𝐀𝐛𝐝𝐮𝐥" 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐞𝐥𝐞𝐤𝐞𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚. 𝐊𝐮𝐭𝐨𝐤𝐮𝐰𝐞𝐩𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐳𝐞𝐞 𝐰𝐚 𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐢 𝐔𝐝𝐡𝐚𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐌𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞𝐤𝐢𝐭𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐧𝐝𝐢𝐲𝐞 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐚.
Amesikika Mhe Lissu akisema kwamba Uchaguzi mkuu wa chama taifa husimamiwa na wazee wa chama. Amesema hajui hata wazee wa Chama ni kina nani maana huko nyuma wazee wa Chama walikua kina Mzee Mtei, Mzee Bob Makani, Ndesamburo, Mzee Arcado Ntagazwa,Profesa Baregu, Profesa Safari nk. Lakini gawa Wazee hawa hawapo kwenye Chama kwa sasa. Kama Makamu Mwenyekiti wa Chama anasema hawajui wazee wa Cham, hivi hali ikoje? Bado tunaona tu Mbowe anastahili kuendelea kukiongoza CHADEMA kwa madhaifu kama haya kweli?
Mbowe alikua na uwezo wa kutafuta hata wazee wa chama kutoka wastaafu wa Chama katika ngazi za kanda na mikoa. Siyo lazima wawe wa ngazi ya taifa. Pia hii ya kukosa wazee wa chama ngazi ya taifa ni kwa sababu ya kukaa madarakani kwa muda mrefu, miaka 20 kungekua hata na wazee 2 wa nyadhifa za uenyekiti. Makatibu wakuu na manaibu wastaafu.
Hata BAZECHA pia inaweza kutoa wazee wa ushauri wangewakalisha hawa watu kukinusuru chama.
Honestly, tukienda kwenye uhalisia wa upepo wa ndani na nje ya Chama, Lissu ndiye mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Chama kuliko mbowe, hii ilikua ni turufu pekee ya chama. Lakini Mbowe ameamua Chama kimfie mikononi anaangalia. Ni dhahiri kabisa kwamba Mbowe hajashauriwa.