MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
TATIZO LA CHADEMA NI KUKOSA WAZEE WA USHAURI NDIO MATOKEO YA KINACHOENDELEA.
Utakubaliana na mimi kwamba chama kikubwa cha siasa aina ya Chadema ambacho uhai wake ni zaidi ya miaka 30 kukosa wazee wa Ushauri ni aibu na ndio matokeo ya minyukano inayoendelea kipindi hiki cha Uchaguzi wa wao wa ndani ya chama.
๐๐ข ๐ข๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ฒ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ค๐๐๐ข๐ฌ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ณ๐๐ ๐ฐ๐ ๐๐ฎ๐ฌ๐๐ซ๐ ๐ง๐๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ข๐ญ๐ ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ฅ๐๐ก๐ข ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ง๐ ๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐. ๐๐ฎ๐ฌ๐๐ซ๐ ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐ซ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐ฎ๐๐ ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ข๐๐ค๐ 22 ๐๐ฅ๐ข๐จ๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐ ๐จ๐ฆ๐๐ฐ๐ ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ ๐ฉ๐๐ฆ๐๐๐ง๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ฆ๐ฐ๐๐๐ก๐ข๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐๐ข ๐๐ก๐๐ก๐ข๐ซ๐ข ๐ก๐๐ฒ๐ ๐ฒ๐๐ง๐๐ฒ๐จ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฉ๐๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข. ๐๐ข๐ง๐ฒ๐ฎ๐ค๐๐ง๐จ ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐ง๐ ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฌ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐ ๐๐๐ฆ๐ ๐๐๐ฆ๐ข๐ 2025 ๐ง๐๐ข๐จ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐๐ค๐๐ง๐จ ๐๐จ๐ฅ๐ฅ๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ "๐๐๐๐ฎ๐ฅ" ๐ง๐๐ข๐จ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ฒ๐จ๐ข๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ค๐๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐. ๐๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฉ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ณ๐๐ ๐ฐ๐ ๐๐ฌ๐ก๐๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐๐๐ก๐๐ข๐๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐.
Amesikika Mhe Lissu akisema kwamba Uchaguzi mkuu wa chama taifa husimamiwa na wazee wa chama. Amesema hajui hata wazee wa Chama ni kina nani maana huko nyuma wazee wa Chama walikua kina Mzee Mtei, Mzee Bob Makani, Ndesamburo, Mzee Arcado Ntagazwa,Profesa Baregu, Profesa Safari nk. Lakini gawa Wazee hawa hawapo kwenye Chama kwa sasa. Kama Makamu Mwenyekiti wa Chama anasema hawajui wazee wa Cham, hivi hali ikoje? Bado tunaona tu Mbowe anastahili kuendelea kukiongoza CHADEMA kwa madhaifu kama haya kweli?
Mbowe alikua na uwezo wa kutafuta hata wazee wa chama kutoka wastaafu wa Chama katika ngazi za kanda na mikoa. Siyo lazima wawe wa ngazi ya taifa. Pia hii ya kukosa wazee wa chama ngazi ya taifa ni kwa sababu ya kukaa madarakani kwa muda mrefu, miaka 20 kungekua hata na wazee 2 wa nyadhifa za uenyekiti. Makatibu wakuu na manaibu wastaafu.
Hata BAZECHA pia inaweza kutoa wazee wa ushauri wangewakalisha hawa watu kukinusuru chama.
Honestly, tukienda kwenye uhalisia wa upepo wa ndani na nje ya Chama, Lissu ndiye mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Chama kuliko mbowe, hii ilikua ni turufu pekee ya chama. Lakini Mbowe ameamua Chama kimfie mikononi anaangalia. Ni dhahiri kabisa kwamba Mbowe hajashauriwa.
Utakubaliana na mimi kwamba chama kikubwa cha siasa aina ya Chadema ambacho uhai wake ni zaidi ya miaka 30 kukosa wazee wa Ushauri ni aibu na ndio matokeo ya minyukano inayoendelea kipindi hiki cha Uchaguzi wa wao wa ndani ya chama.
๐๐ข ๐ข๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ฒ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ค๐๐๐ข๐ฌ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ณ๐๐ ๐ฐ๐ ๐๐ฎ๐ฌ๐๐ซ๐ ๐ง๐๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ข๐ญ๐ ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ฅ๐๐ก๐ข ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ง๐ ๐ฒ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐. ๐๐ฎ๐ฌ๐๐ซ๐ ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐๐๐จ๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐ซ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐ฎ๐๐ ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ข๐๐ค๐ 22 ๐๐ฅ๐ข๐จ๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐ ๐จ๐ฆ๐๐ฐ๐ ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ ๐ฉ๐๐ฆ๐๐๐ง๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ฆ๐ฐ๐๐๐ก๐ข๐ ๐๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ. ๐๐ข ๐๐ก๐๐ก๐ข๐ซ๐ข ๐ก๐๐ฒ๐ ๐ฒ๐๐ง๐๐ฒ๐จ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฉ๐๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข. ๐๐ข๐ง๐ฒ๐ฎ๐ค๐๐ง๐จ ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐ ๐ง๐ ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฌ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐ ๐๐๐ฆ๐ ๐๐๐ฆ๐ข๐ 2025 ๐ง๐๐ข๐จ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐๐ค๐๐ง๐จ ๐๐จ๐ฅ๐ฅ๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ "๐๐๐๐ฎ๐ฅ" ๐ง๐๐ข๐จ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ฒ๐จ๐ข๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ค๐๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐. ๐๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฉ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ณ๐๐ ๐ฐ๐ ๐๐ฌ๐ก๐๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐๐๐ก๐๐ข๐๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ก๐๐ฆ๐.
Amesikika Mhe Lissu akisema kwamba Uchaguzi mkuu wa chama taifa husimamiwa na wazee wa chama. Amesema hajui hata wazee wa Chama ni kina nani maana huko nyuma wazee wa Chama walikua kina Mzee Mtei, Mzee Bob Makani, Ndesamburo, Mzee Arcado Ntagazwa,Profesa Baregu, Profesa Safari nk. Lakini gawa Wazee hawa hawapo kwenye Chama kwa sasa. Kama Makamu Mwenyekiti wa Chama anasema hawajui wazee wa Cham, hivi hali ikoje? Bado tunaona tu Mbowe anastahili kuendelea kukiongoza CHADEMA kwa madhaifu kama haya kweli?
Mbowe alikua na uwezo wa kutafuta hata wazee wa chama kutoka wastaafu wa Chama katika ngazi za kanda na mikoa. Siyo lazima wawe wa ngazi ya taifa. Pia hii ya kukosa wazee wa chama ngazi ya taifa ni kwa sababu ya kukaa madarakani kwa muda mrefu, miaka 20 kungekua hata na wazee 2 wa nyadhifa za uenyekiti. Makatibu wakuu na manaibu wastaafu.
Hata BAZECHA pia inaweza kutoa wazee wa ushauri wangewakalisha hawa watu kukinusuru chama.
Honestly, tukienda kwenye uhalisia wa upepo wa ndani na nje ya Chama, Lissu ndiye mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Chama kuliko mbowe, hii ilikua ni turufu pekee ya chama. Lakini Mbowe ameamua Chama kimfie mikononi anaangalia. Ni dhahiri kabisa kwamba Mbowe hajashauriwa.