Pre GE2025 Tatizo la chaguzi za Afrika ni nini hasa? Kwa nini wazungu wanaheshimiana sana kwenye chaguzi zao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwafrica ni halali yake kutawaliwa na kusimamiwa, kwa sababu wengi wao, wana tofauti ndogo sana na wanyama.
Hayo ni madai ya uwongo na hayana msingi wowote ule zaidi yakuwa ni ya Kibaguzi. Racist in Nature. Madai yako hayana msingi in biology na wala hayana mantiki. There is no logic.
???
Ni mtu mwenye hasira sana na fikra potofu ndie anayeweza kunena hayo uliyonena.
Bahati nzuri haya mapumbavu yanayopenda kujificha kwenye "demokrasia ya Waafrika", yanapotekeleza unyama wao, yanazidi kupungua. Hatua kwa hatua, baadhi ya nchi zinazidi kustaarabika, na kuheshimu maamuzi ya wananchi:
Ha ha ha. Unatamani hayo yawe kweli. Duh! What a hogwash.
Afrika ya Mashariki, Kenya imekwishaondoka kwenye huo upumbavu.

Afrika Ya Kusini, Botswana, Malawi na Afrika Kusini zimeondoka kwenye huo uoumbavu.

Afrika Magharibi, Nigeria, Liberia na Ghana wameondoka kwenye huo upumbavu.
Punguza jazba. Punguza matusi.
 
Kuna ujinga mwingi tu huko uzunguni tatizo mnalishwa matango pori na western Media....walichojaaliwa wao hawasemani vibaya ...au umesahau kuwa Trump alilalamikia wizi wa kura
Mbona unaongopa mchana kweupe? Western countries hakuna ujinga. Sehemu zenye matatizo ni hawa waliokuwa wakomunisti. Trump hakuibiwa ila alitaka kulazimisha na kwa sababu utaratibu wao ni mzuri akashindwa kufanya lolote.
 
ana stress za January huyoo!anajibujibu watu ovyo na taarabu zake!chizi kabisaa
Kuwa na mtoto wa kambo kama wewe ni stress tupu.

Hebu tulia huko nje na nye nye nye zako. Bao ndio kwanza linakuja.
 
Laaana inakutafuna. Useless to any society.

Ati nikakojoe, leo navaa Kondom nisije kuzaa toto lenye laana mbaya sana kama wewe.

Aise umebarikiwa Laana wewe.
Baba yako bora angemwaga manii zake chooni kuliko alivyo kuzaa mwehu kama wewe.
 
George Wear kakubali matokeo mbona, we sema Tanzania sababu ya mfumo ovu wa CCM, leo hii CCM ukiitoa madarakani itabidi kuanzia mzee Mwinyi wawe jela kwa ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma, sasa watakubali kuachia dola?
 
NEC inasimamiwa na wazungu?
 
Wao taifa kwanza siasa ni baadae
 
Kuna ujinga mwingi tu huko uzunguni tatizo mnalishwa matango pori na western Media....walichojaaliwa wao hawasemani vibaya ...au umesahau kuwa Trump alilalamikia wizi wa kura
Lakini hakutumia polisi kubaki madarakani aliondoka, huku mwizi wa nje nje, kwanini tusiweke mifumo tupige kura kwa mifumo?
 
wazungu gani?- Hilary hajwahi kukubali kuwa Trump alishinda uchaguzi? Jipange upya na uje ukijua Mungu hajawahi umba mzungu wala mwafrika , Mungu aliiumba binadamu kiumbe mshezi kuliko kiumbe yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…