Pre GE2025 Tatizo la chaguzi za Afrika ni nini hasa? Kwa nini wazungu wanaheshimiana sana kwenye chaguzi zao?

Pre GE2025 Tatizo la chaguzi za Afrika ni nini hasa? Kwa nini wazungu wanaheshimiana sana kwenye chaguzi zao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Of all yaani una wa blame wazungu kwa chaguzi zetu wenyewe?

Wapi hapo nime blame wazungu? Wewe una blame Mwafrika?
Kwenye zama hizi bado unamlaumi mtu mweupe kwa chaguzi ambazo tunapanga wenyewe, tuna teua wenyewe

Usigeuze kibao. Hoja ni Kuheshimiana
? Ni mara ngapi uchaguzi tuna uvuruga wenyewe tena mamlaka kubwa zikihusika?
Wewe umeona wapi uchaguzi unavurugwa na mamlaka ndogo?
Halaf unalaumu wazungu. Wake up bro
Wewe una mlaumu nani?
Oh eti waafrika hatudanganyiki nani kasema?
Hatudanganyiki
How many times tumeona wenye dhamana wameingizwa mkenge na raia wa nje na waka sign mikataba mibovu?
Ndio kusema, wanatuingilia chaguzi zetu. Soma tena
Ni lini tutachukua responsibility ya matendo yetu wenyewe na kuacha kuwalaumu watu ambao basicaly hawapo?
Sasa hapa anayelalama ni nani? Wewe umefanya nini baada ya kuchukua hiyo responsibility? Rudi kwenye hoja.
 
Tunaposema chaguzi zetu ni za kishenzi tuna ushahidi na tunayoyasema,
Wewe na nani?
Wala sio mzungu kaja kutuambia kuwa chaguzi zetu ni za kishenzi. I

kwamba mie ndio nimesema mzungu ndio kaja kutuambia?
sitoshe hujaelewa mada bali umeiparamia na kuanza kujibu out of context. Soma alichoweka mleta Uzi ndio uongize ushabiki wako wa kijinga.
Wewe ndio unayependa kuparamia.

Wewe Umeelewa nini
zaidi ya kuja Ki CHADEMA?
Mapovu tu yanakutoka.
 
Marekani hata hakuna tume ya uchaguzi, serikali za majimbo ndizo zinasimamia mchakato mzima wa kupiga na kuhesabu kura laki hakuna Katibu wa jimbo awe Republican au Democrat anayeiba kura za wapinzani wake. Ila voter suppression kwa sehemu inawalenga watu weusi!

Uingereza hakuna tume ya uchaguzi ya kusimamia upigaji na kuhesabu kura, hii kazi yote inafanywa na serikali za mitaa. Tume yao ya uchaguzi ni kwa ajili ya kuhakikisha mchakato na sheria za uchaguzi tu zimezingatiwa. Uchaguzi wao pia haujawahi kuwa na shida, hakuna wizi wa kura.

Ufaransa kura zinahesabiwa na watu wa kujitolea kisha serikali za mtaa zinathibitisha na kutangaza matokeo, kama huwezi kwenda kituoni kupiga kura unaweza kumtuma mtu akupelekee kura yako polisi. Uchaguzi wao hauna shida pia.

Makaburu wa Africa Kusini wakati wanawazuia watu weusi kupiga kura wao wenyewe walikuwa wanaheshimu uchaguzi wao na hawabiani kura!

Sisi Waafrika lazima tuna shida mahali, tuna sheria na miongozo chungu nzima ya uchaguzi ila chaguzi zetu zina matatizo makubwa na mara zote hakuna anayekubali kushindwa na wengine wanaishia katika kukataa uchaguzi, kufungua kesi, maandamano au kupigana vita za kuuana kabisa!
Africa uongozi ni sehemu ya masikini kuwa tajiri, na kujilimbikizia Mali. Ulaya na America uongozi ni utumishi wa umma. Siku ulaya na America watageuza uongozi kama sehemu ya kutokea kimaisha, chaguzi zake zitakuwa chafu kuliko za Africa.
 
Umepiga mle mle. Kila tamaduni iende kulingana na mazingira yao. Sisi hii kitu haina mashiko. China mbona imeendelea na haifuati hiyo Demokrasia ya ulaya
Nayajua haya magaidi, hawana Uafrika wala Utanzania.

Ni mavibaraka na mawakala na mapandikizi ya Ulaya.
 
Wewe na nani?


kwamba mie ndio nimesema mzungu ndio kaja kutuambia?

Wewe ndio unayependa kuparamia.

Wewe Umeelewa nini
zaidi ya kuja Ki CHADEMA?
Mapovu tu yanakutoka.
Low IQ, ulichoongea hakiendani na mleta mada. Umevamia na kuanza kitaja wazungu hawaheshimu chaguzi zetu, wakati mleta hoja alizungumzia tofauti ya chaguzi zetu na za wazungu. Kama hata kuelewa tu mada ilikuwa mgogoro, kuna lipi tutajadili na ww?

Hata hivyo hongera, siku hizi kwa mbali unajitahidi kuandika kwa ufasaha. Japo bado tatizo la kuelewa mada lipo.
 
Africa uongozi ni sehemu ya masikini kuwa tajiri, na kujilimbikizia Mali. Ulaya na America uongozi ni utumishi wa umma. Siku ulaya na America watageuza uongozi kama sehemu ya kutokea kimaisha, chaguzi zake zitakuwa chafu kuliko za Africa.
Muongo wewe.
Narudia. Wewe ni muongo
 
Low IQ, ulichoongea hakiendani na mleta mada. Umevamia na kuanza kitaja wazungu hawaheshimu chaguzi zetu, wakati mleta hoja alizungumzia tofauti ya chaguzi zetu na za wazungu. Kama hata kuelewa tu mada ilikuwa mgogoro, kuna lipi tutajadili na ww?

Hata hivyo hongera, siku hizi kwa mbali unajitahidi kuandika kwa ufasaha. Japo bado tatizo la kuelewa mada lipo.
Wewe ni Muongo tu Gaidi wewe.

Hata hujui ulichoandika, ona sasa unapanic. Mleta mada kaandika nini zaidi ya matusi na Uwongo?

Hatudanganyki na kupotoshwa na propaganda zenu za uhasama.
 
Umasikini, njaa na kutokuthaminiana!, Mkurugenzi wa uchaguzi anatoa tamko kwa wakurugenzi wa wilaya chama kipi kishinde, mkurugenzi wa wilaya anatoa maelekezo kwa wasimamizi wa kata mgombea yupi ashinde na kura zipigwe ziongezwe baada ya raia kupiga kura halali!.
Mfumo mbovu wa tume ya uchaguzi, tume imejaa makada wa chama!, Hizo 4R zinazopigiwa debe zianze kwenye Reformation ya tume ya uchaguzi pale ni uozo... 2015 nimekuwa sehemu ya huu huu mchakato nilichokiona hakika ni upuuzi mtupu.
 
Unachobisha nini?, Fuatailia familia za Hawa viongozi wengi wa kisiasa wametajirika kupitia siasa na sio kitu kingine!!, Kikwete, Lowasa, Rostam,Mwigulu n wengi tu. Siasa Afrika ni kuwa tajiri.
Nafuatilia mpaka za Marekani na Ulaya. Ni hivyo hivyo tu. Au unataka kusema nini hapo? What are you Implying?
Hata akina Mbowe, Lissu, Zitto. Ni vivyohivyo. Tusidanganyane

Wewe unachobisha ni nini?
 
Niulize tu, huko kuheshimiana kwao ndio nini?

Itoshe, vurugu za Trump zinaendelea mpaka leo hii, Ulaya napo vilevile na havina uajabu wowote ule kama unavyotaka tuamini. Again, kama ni vitu vya ajabu how do yo explain sheria zinazotumiwa kuleteana mizengwe huko, unataka kusema hizo sheria walizinyakua Afrika? ahhh Mzee wangu!
Tukizungumzia demokrasia za huko Duniani tunazungumzia Amerka ya kaskazini na Ulaya ya magharibi !

Sio Amerika ya kusini na wala sio Ulaya ya mashariki !
Kwa mara ya kwanza katika historia yao ya demokrasia ni Trump pekee ndiye aliyeleta ule utata katika Uchaguzi , Na mpaka leo bado wanamshangaa !!
 
Umasikini, njaa na kutokuthaminiana!, Mkurugenzi wa uchaguzi anatoa tamko kwa wakurugenzi wa wilaya chama kipi kishinde, mkurugenzi wa wilaya anatoa maelekezo kwa wasimamizi wa kata mgombea yupi ashinde na kura zipigwe ziongezwe baada ya raia kupiga kura halali!.
Mfumo mbovu wa tume ya uchaguzi, tume imejaa makada wa chama!, Hizo 4R zinazopigiwa debe zianze kwenye Reformation ya tume ya uchaguzi pale ni uozo... 2015 nimekuwa sehemu ya huu huu mchakato nilichokiona hakika ni upuuzi mtupu.
Mkuu hamia Burundi tu. Hiyo ni Overkill Over generalization

Mkurugenzi wa wapi? Nchi gani?

Umasikini wa Fikra nao ni Umasikini, na ina dhihirisha njaa ya Fikra pana.
 
Nafuatilia mpaka za Marekani na Ulaya. Ni hivyo hivyo tu. Au unataka kusema nini hapo? What are you Implying?
Hata akina Mbowe, Lissu, Zitto. Ni vivyohivyo. Tusidanganyane

Wewe unachobisha ni nini?
Kwani mbowe sio mwanasiasa wa Afrika?, Hebu nitajie mwanasiasa wa ulaya au marekani ambaye amepata pesa kupitia uongozi wakisiasa?.
 
Nafuatilia mpaka za Marekani na Ulaya. Ni hivyo hivyo tu. Au unataka kusema nini hapo? What are you Implying?
Hata akina Mbowe, Lissu, Zitto. Ni vivyohivyo. Tusidanganyane

Wewe unachobisha ni nini?
Honestly hata sijui huwa unaongeaga utoto gani?! Na si ajabu ukakomaa hapa kwenye huu uzi na utoto huo huo!
 
Uzuri uwongo na fikra kama hizo wanazo walamba miguu na makobazi tu.

Hata Ulaya na Marekani mifumo yao si salama na mingi imekufa zaidi kushinda hata ya Afrika.
sasa mbona kama mifumo yao imekufa, mbona hawafikii hatua ya kuuana, vita na vurugu kama kwetu afrika ambako uchaguzi ukiisha tu ni taharuki!yaani hata kabla ya uchaguzi nchi zinakua ktk taharuki ambayo ni ya kijinga hvi!
 
Mkuu hamia Burundi tu. Hiyo ni Overkill Over generalization

Mkurugenzi wa wapi? Nchi gani?

Umasikini wa Fikra nao ni Umasikini, na ina dhihirisha njaa ya Fikra pana.
Acha kubishana na Mambo ambayo watu tumeyafanya na tumeyaona kwenye vyumba vya uchaguzi, kinachofanyika kwenye uchaguzi Tz ni upuuzi na sio uchaguzi.... 2015 mkurugenzi wa wilaya alikuwa sehem ya semina wilaya niliyosimamia uchaguzi alitamka wazi anataka ushindi wa 100% wilaya take... Na ndicho kilitokea...... Acha kukomaza mishipa kwa vitu vilivyo wazi.
 
Tukizungumzia demokrasia za huko Duniani tunazungumzia Amerka ya kaskazini na Ulaya ya magharibi !
Kwa mawazo kama hayo peke yake, ndipo wengi wa ukasuku wanapokosea. Kwamba huku kwingine sio Duniani? Sasa mnakasirika nini?
Sio Amerika ya kusini na wala sio Ulaya ya mashariki !

Kwa mara ya kwanza katika historia yao ya demokrasia ni Trump pekee ndiye aliyeleta ule utata katika Uchaguzi ,
Sio Ukweli ni mara ya Kwanza. Marekani wana Historia ndefu ya Utata wa Chaguzi. Mizengwe ipo kibao na Maraisi kama saba wanahusishwa. Usijiondoe Ufahamu Mkuu kwa ushabiki.
Na mpaka leo bado wanamshangaa !!


Hata huku huwa tunawashangaa wakina Mbowe na Lissu
 
sasa mbona kama mifumo yao imekufa, mbona hawafikii hatua ya kuuana, vita na vurugu kama kwetu afrika ambako uchaguzi ukiisha tu ni taharuki!yaani hata kabla ya uchaguzi nchi zinakua ktk taharuki ambayo ni ya kijinga hvi!
Wewe sijui upo sayari gani. Wale walikufa Januari sita je?
Zile vurugu hukuziona? Ufaransa, Spain, Italia kote huko kulikuwa na mavurugu. Hebu jitosheleze na taarifa kwanza baala ya kufanya ukasuku.
 
Acha kubishana na Mambo ambayo watu tumeyafanya na tumeyaona kwenye vyumba vya uchaguzi, kinachofanyika kwenye uchaguzi Tz ni upuuzi na sio uchaguzi.... 2015 mkurugenzi wa wilaya alikuwa sehem ya semina wilaya niliyosimamia uchaguzi alitamka wazi anataka ushindi wa 100% wilaya take... Na ndicho kilitokea...... Acha kukomaza mishipa kwa vitu vilivyo wazi.
Ha ha

Kwanza kabisa ukome kunichagulia mambo am bayo naweza na ambayo siwezi kubishana. That aside.

Hunijui, so huwezi kusema kwamba sielewi au sijaona au kushiriki kwenye Chaguzi!

Hizo nchi ambazo mnadai hakuna uchafu huko nao walitoa ripoti za Uchaguzi, na hakuna hata mmoja aliyesema Uchaguzi Tz ni Upuuzi. Ieleweke Hayo ni maoni yako tu Non else.

Sasa, Kilicho wazi ni kwamba hata Ulaya na Marekani kuna Uchaguzi tata.

Na wewe acha Ukasuku. Uwe unavaa na akili zako mchana. Umekula?
 
Wewe sijui upo sayari gani. Wale walikufa Januari sita je?
Zile vurugu hukuziona? Ufaransa, Spain, Italia kote huko kulikuwa na mavurugu. Hebu jitosheleze na taarifa kwanza baala ya kufanya ukasuku.
dada relax kwanza!mtu mzima anajibiwa kwa hoja sio taarabu na vichambo!
 
Back
Top Bottom