Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Serikali za nchi nyingine unazizungumziaje mkuu? Ilikua ni halali kwa nchi nyingine kupata maambukizi?

Unazungumza kanakwamba serikali yetu ya imezembea MNO.

Huu si muda wa kulaumiana. Endelea kusambaza elimu kwenye jamii tuzidi kujikinga.

- Satan -

Yes imezembea sana kuna nchi walizochukua tahadhali mapema wako na case chache na wamefanikiwa kucontrol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Vipi umeambukizwa corona na familia yako? Na utakoma kama unasubiri serikali ikutangazie lockdown hakuna cha lockdown

mkuu corona sio siasa kwamba ubebe polisi uibe na kura alafu ujitangaze mshindi, huu ni ugonjwa wa kisayansi unahitaji majibu ya kisayansi sio longolongo mkuu hii kitu ikiingia kwenu ndio utajua hii kitu mnafanya ni upumbavu wa hali ya juu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ivi ukiwa ccm unakuwa mbumbumbu eti ?

mfano Ugonjwa mkubwa kabisa ulofanya dunia nzima ishake major events zifungwe na watu kibao wapoteze maisha mtu anakuja kusema kagonjwa kadogo ka korona ila umekimbia haka kagonjwa umeenda kujificha bush kwenu.

nikwambie kitu mkuu nimekuspot unatetea upumbavu wa watawala na nikwambie ukweli korona ikifika kwenye level ya familia yenu ndio utaelewa nini tulikuwa tunasema, watu wameanza kudondoka na madhara ya ugonjwa yanaonekana, Rais kajificha daaah


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi ukiwa chadema lazima uwe msukule?corona ni ugonjwa mdogo tu Kuna magonjwa Kama malaria kansa ukimwi tb ebola yapo kila siku kila mwaka na dunia inasonga haijawahi kusimama! Ndio hapo ujue Kuna tofauti ya binadamu na misukule! Binadamu atachukua tahadhari/Kinga atafuata ushauri/miongozo inayotolewa na wataalam wa afya/serikali misukule itapuuza na kulaumu kulia kulalamika
 
Hivi ukiwa chadema lazima uwe msukule?corona ni ugonjwa mdogo tu Kuna magonjwa Kama malaria kansa ukimwi tb ebola yapo kila siku kila mwaka na dunia inasonga haijawahi kusimama! Ndio hapo ujue Kuna tofauti ya binadamu na misukule! Binadamu atachukua tahadhari/Kinga atafuata ushauri/miongozo inayotolewa na wataalam wa afya/serikali misukule itapuuza na kulaumu kulia kulalamika

sasa mkuu mbona watu wanakufa sana alafu kiajabu ajabu ? me sina chama ila wazee hamnaga logic sijui kwanini ? yan hapa tukainza kuchambua kitu kwa logic wewe utakuja kuishia either kwene matusi au kejeli, huwa najiuliza sana hii kitu.

Serikali ushauri wake unajicontradict na ndio mana watu wamechanganyikiwa hawajui wafuate lipi waache lipi, wamezidi uwongo na ndio kinachotukost, mnano mdogo tulivyokuwa na wagonjwa 54 waliruka gafla na kuongezeka 80+ ikawa kwenye kama 130+ hawa ni wagonjwa right ? wanatakiwa wawe isolated two weeks ndio wapimwe tena waonekane kama wamepona , Sasa angalia contradiction ilipo week moja baadae ( baada ya kuwa na wagonjwa 130+) magufuli anaongea anasema wagonjwa 100 wamepona ? wamepona lini na lini walituambia kuna wagonjwa mia ? sababu hawa 137 bado wapo isolated na wiki mbili haijafika. Sasa huyu Magufuli katoa wapi hii mia yake ?, katoa wapi hiz data? , Wanaficha maradhi ? Why ? ..Use your brain kutafakari huu upuuz manake ni hesabu rahis sana,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom