Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app