Kuna member fulani la JF lina ID ya Beha... ni fala kweli kweli.Kuna nchi fulani ya Afrika mashariki Rais wake amekuwa fala ghafla!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna member fulani la JF lina ID ya Beha... ni fala kweli kweli.Kuna nchi fulani ya Afrika mashariki Rais wake amekuwa fala ghafla!
Japo wananchi ni waumini wa madhehebu mbalimbali lakini kikatiba serikali haina dini.Huyu ngoma ikipamba moto ataturuka tu kuwa nilimwambia mfunge na kusali hamkusikia
KongwaWapi hapa?.Njombe?
morning madam akeeeeeeeeeeeeee.....swalamaaaaaaaaaaaaaaMimi walinishangaza pale walipowarudisha wanafunzi wa mashuleni na vyuoni nyumbani huku wakiendelea kuruhusu watu waingie na kutoka mipakani...unaziba huku kule kuko wazi..mnhhh
Povu la nini wale ni wahuni tu Sasa msukule Kama wewe ukija humu kutetea hao wahuni haifuti kuwa wale ni wahuni tuMhuni babako aliyeshindwa kutumia uzazi wa mpango hadi kutuletea kituko kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakifa kwani nani anadhulika? Hizi akili mi za watu kama wewe mkuu. Eti watu wakifa hauna hata huruma! Hooeless kabisa. Afe mama yako pia usiwe na huruma.
Wee mama si upo maternity leave wewe..!?Wewe tayari umelaaniwa wewe na familia yako!
Kuna wakati inakuwa vigumu kuelewa viongozi wetu wanatumia nini kufikiri. Unakataa kuzuia wageni kuingia nchini mwako eti kwa kuhofia kukosa watalii ambao wameelemewa na corona huko kwao?
Kile Ni kakikundi tu cha wahuni bwasheeNa wewe kutoa povu haifuti ukweli kuwa wewe ni biriani
Hadi sasa, ukiacha Zanzibar ambako wagonjwa bado wanaongezeka, Tanzania bara, kwa kiasi kikubwa umedhibitiwa. Sababu kubwa ya kudhibitiwa ni wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu, na usimamizi makini wa Serikali. Baadhi ya Mikoa imwxhukua hatua zaidi ya kuhakikisha vyombo vya usafiri na maeneo ya mikusanyiko ya watu km hospitali, masoko, nk yanapuliziwa dawa.
Anayehudhuria ibada kwenye nyumba hizo atambue kuwa anafanya hivyo kwa dhamira ya imani yake bika kulazimishwa. Lakini ajue kuwa anajihatarisha kama hatachukua hatua stahiki za kujikingaTahadhari gani unazungumzia bara wakati leo makanisani watu walijazana na tbc inarusha
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Sio kweli wanaougua ni wengi mloganzila kumejaa walikua wanaingia mpaka wagonjwa 50 per day wewe unasema umedhibitiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio watoa taarifa ya uzushi. Hospitali zilizoteuliwa mkoani Dsm ni kwa ajili ya vipimo vya awali vya COVID-19 ili kuongeza uwezo wa upimaji. Mgonjwa akithibitishwa anapelekwa Mloganzira kwa matibabu.Wewe mtu unaongea ukiwa nchi gani!! Unadiriki kusema umethibitiwa, kweli!?? Hii "exponential growth" huioni, ama mwenzetu unaongea ukiwa usingizini, hata habari za takwimu zitolewazo na Wizara kabisa huzijui!!! Wenzako wameona Mloganzila haitoshi, wameichukua na Amani, halafu unasema imethibitiwa!! Kwa usalama wako tu, ondoa hili wazo na chukua hatua...wagonjwa ni wengi mtaani.
Sasa hapo kipi Cha ajabu zaidi ya kufurahi ni Kama vile yule muhuni na msemo wake wa fly to kia kale ni kakikundi Cha wahuni tuWahuni ni hawa hapa batamzinga wewe
Ibada nazo hazija simamishwa mpaka leoTatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100% nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu Airports
TATU mlikua mnaidharau Corona Rais na Makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona. Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya Mloganzila imejaa ndio mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Kumbuka tu kwamba uhai wako uko mikononi mwako unapofanya maamuzi na kuyatekeleza. Uliingia duniani peke yako na utataitoka mwenyewe tu.Ibada nazo hazija simamishwa mpaka leo
Amina mkuu.Kumbuka tu kwamba uhai wako uko mikononi mwako unapofanya maamuzi na kuyatekeleza. Uliingia duniani peke yako na utataitoka mwenyewe tu.