Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Hadi sasa, ukiacha Zanzibar ambako wagonjwa bado wanaongezeka, Tanzania bara, kwa kiasi kikubwa umedhibitiwa. Sababu kubwa ya kudhibitiwa ni wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu, na usimamizi makini wa Serikali. Baadhi ya Mikoa imwxhukua hatua zaidi ya kuhakikisha vyombo vya usafiri na maeneo ya mikusanyiko ya watu km hospitali, masoko, nk yanapuliziwa dawa.

Wewe mtu unaongea ukiwa nchi gani!! Unadiriki kusema umethibitiwa, kweli!?? Hii "exponential growth" huioni, ama mwenzetu unaongea ukiwa usingizini, hata habari za takwimu zitolewazo na Wizara kabisa huzijui!!! Wenzako wameona Mloganzila haitoshi, wameichukua na Amani, halafu unasema imethibitiwa!! Kwa usalama wako tu, ondoa hili wazo na chukua hatua...wagonjwa ni wengi mtaani.
 
Kura za kulazimisha na wizi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji51][emoji51][emoji51]
tapatalk_jpeg_1582962299761.jpg
masoudkipanya_B9GSmqxjtws.jpg
masoudkipanya_B9A_6OMDjZT.jpg
 
Kura za kulazimisha na wizi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa mpumbavu Ni aibu sana Kama kura za kuiba msingepata hata mbunge diwani meya hata mmoja uibiwe kura halafu upate Sasa uchaguzi ujao ndio useme umeibiwa kweli hakuna mbunge hata mmoja mtakao pata hakuna mtanzania mwenye akili atakae wapa kura chadema itapata kura za viwavi vya bavicha tu
 
Ukiwa mpumbavu Ni aibu sana Kama kura za kuiba msingepata hata mbunge diwani meya hata mmoja uibiwe kura halafu upate Sasa uchaguzi ujao ndio useme umeibiwa kweli hakuna mbunge hata mmoja mtakao pata hakuna mtanzania mwenye akili atakae wapa kura chadema itapata kura za viwavi vya bavicha tu
[emoji51][emoji51][emoji51]
tapatalk_jpeg_1582962299761.jpg
masoudkipanya_B9A_6OMDjZT.jpg
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini

Yaani upo sahihi 100% serikali imezembea sana. Mimi hata watu wakifa Tz sioni huruma, kwasababu hata watanzania wenyewe hawajihurumii kabisa. Nilisoma comment zao nyingi wakifanya utani na huu ugonjwa. Mimi nawapongeza Uganda, wameonyesha kujali wananchi. Yaani hata mtu akifa Uganda unajisikia uchungu. Tanzania potelea mbali kabisa, wanachokipata ni uzembe wao. Eti wanaanza kusali, huyu Mungu si wa mzaamzaa. Kwani Mataifa mengine hawamjui? It is too late ni kwa huruma tu ya Mungu ila hali ni mbaya.
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Dua la kuku. Endelea kulaani mkuu.
 
Serikali za nchi nyingine unazizungumziaje mkuu? Ilikua ni halali kwa nchi nyingine kupata maambukizi?

Unazungumza kanakwamba serikali yetu ya imezembea MNO.

Huu si muda wa kulaumiana. Endelea kusambaza elimu kwenye jamii tuzidi kujikinga.

- Satan -
Huu ni upumbavu, watu walipokuwa wanashauri kuwa fungeni mipaka mliwaona wajinga na ninyi mkajiona werevu na mnajua kila kitu.
Mmeharibu na kutusababishia maafa makubwa

Sasa oooh! Tuombee nchi, mara tusiamame na rais kuiombea nchi.
Mara, muda huu si wa kulaumiana tusambaze elimu.

Upumbavu mtupu,kusambaza elimu wakati adui yumo ndani!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani upo sahihi 100% serikali imezembea sana. Mimi hata watu wakifa Tz sioni huruma, kwasababu hata watanzania wenyewe hawajihurumii kabisa. Nilisoma comment zao nyingi wakifanya utani na huu ugonjwa. Mimi nawapongeza Uganda, wameonyesha kujali wananchi. Yaani hata mtu akifa Uganda unajisikia uchungu. Tanzania potelea mbali kabisa, wanachokipata ni uzembe wao. Eti wanaanza kusali, huyu Mungu si wa mzaamzaa. Kwani Mataifa mengine hawamjui? It is too late ni kwa huruma tu ya Mungu ila hali ni mbaya.
Sasa wakifa kwani nani anadhulika? Hizi akili mi za watu kama wewe mkuu. Eti watu wakifa hauna hata huruma! Hooeless kabisa. Afe mama yako pia usiwe na huruma.
 
Huu ni upumbavu, watu walipokuwa wanashauri kuwa fungeni mipaka mliwaona wajinga na ninyi mkajiona werevu na mnajua kila kitu.
Mmeharibu na kutusababishia maafa makubwa

Sasa oooh! Tuombee nchi, mara tusiamame na rais kuiombea nchi.
Mara, muda huu si wa kulaumiana tusambaze elimu.

Upumbavu mtupu,kusambaza elimu wakati adui yumo ndani!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, usisambaze elimu. Achana na jamaa, wewe endelea kuHATE. Inatosha!
 
Hadi sasa, ukiacha Zanzibar ambako wagonjwa bado wanaongezeka, Tanzania bara, kwa kiasi kikubwa umedhibitiwa. Sababu kubwa ya kudhibitiwa ni wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu, na usimamizi makini wa Serikali. Baadhi ya Mikoa imwxhukua hatua zaidi ya kuhakikisha vyombo vya usafiri na maeneo ya mikusanyiko ya watu km hospitali, masoko, nk yanapuliziwa dawa.

Wewe acha uongo, Tanzania bara haujadhibitiwa. Subiri uone ongezeko la wagonjwa. Dawa za kuua bacteria 🤣🤣. Ebu tumia akili.
 
Hadi sasa, ukiacha Zanzibar ambako wagonjwa bado wanaongezeka, Tanzania bara, kwa kiasi kikubwa umedhibitiwa. Sababu kubwa ya kudhibitiwa ni wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu, na usimamizi makini wa Serikali. Baadhi ya Mikoa imwxhukua hatua zaidi ya kuhakikisha vyombo vya usafiri na maeneo ya mikusanyiko ya watu km hospitali, masoko, nk yanapuliziwa dawa.
Wewe ni mlozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lawama zote kwa Jiwe

Tulipiga kelele sana humu, funga mipaka, funga mipaka, funga mipaka ili tucontain hii hali nchini, kama kawaida yake akawa stubborn.

Sasa Watanzania moto unatuwakia, hali imekuwa tete

Utakwepaje lawama?

Mzee jiuzulu
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Mmmmh
images-7.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SABA, walikataa kila ushauri waliopewa na wapinzani badala yake wakawa wana wakejeli. Walioongoza kwa ubishi ni John, mwanae Paulo na Chakubanga
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom