Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Pointi tupu humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli mimi sio wa ufipa lakini simtaki kabisa huyu jamaa anayeitwa Rais. Ameshindwa kabisa hata tu kuonesha uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio KIDEMOCRASIA na umetumia HAKI yako sio kila kitu atachokifanya mheshimiwa rais upendezewe nacho ila kuna watu wanapendezewa na wengi, kwaiyo wengi wape.
 
Walaumiwe kwa kuleta Corona au? Maana ugonjwa ki vyovyote ungekuja tu.

Je watanzania dizaini yako wangekuwa kama wataliano wanavyokufa mngekuwa mnaweka UZI back to back hadi server zingesema poh humu?

Inabidi tushukuru na kuwatia moyo wale wote awalali kipindi hiki maana kwa uwezo na kwa resources tulizonazo kama nchi hamna case za vifo vingi kama huko kwa wenzetu wenye resources za kutosha kuliko Tanzania.
Usiseme watanzania dizaini yako sema nyumbu dizaini yako manaake hastahili kuitwa hata mtanzania
 
Yani Sio Tanzania tu nch zote za Africa najiuliza kwann hawakufunga mipaka ya nchi wakitaka wajue wamefanya ujinga wa kiwango Cha lami wangalie now wale wachina tulio kua tunawachekea na kuwakaribisha nchin leo wanatufukuza kwao na kusema kwamba sisi tunawapelekea Corona ambayo imeanzia kwao na wamefunga mipaka Yao huu ujinga walio fanya unadhihirisha kabisa waafrica bado niwajinga Sana hasa VIONGOZI wetu hiv tungefunga mipaka yetu toka mwanzo ingekuaje.

Na bado naona viongoz wetu wanaendelea kufanya ujinga hiv kwanini wameshindwa kufunga mipaka ya Mikoa ili ugonjwa usisambae ivi tunasubir nn kuchukua hatua Yan Kuna ujinga mtu anafanya mpaka unashangaa au huu ugonjwa VIONGOZI wanajua kwamba ni plan na walifaamishwa so wanasubir tu tufe Mana huu ujinga ni kiwango Cha Lam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali sisi duniani huko kwa siku nchi moja inazika watu elfu moja na hawaleti ushoga na umaku wa kumlaumu na kulialia hovyo hovyo
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Bado mabasi ya dar na mikoa mingine yanaendelea kusambaza......wakuu wa wilaya,mikoa wanashindwa kusema wanaotoka dsm wawekwe karantini kwasababu bado mamlaka ya uteuzi bado inapiga kahawa tu vijiweni bila kujali bomu lililotegeshwa.
 
Its a matter of common sense that prevention is better than cure.We lost such an opportunity when WHO warned us that Covid-19 is pandemic.
Utalii utashuka kwani uchumi wa dunia upo ICU na utaendelea kushuka kwani nchi watokapo watalii zipo duniani na dunia nzima imekumbwa na Corona.
Hivi vita ni vita kama vita nyingine tuungane pammoja kwa kutumia nguvu na akili zetu.
Sisi kama taifa tufungue macho,hatuna mjomba tuko peke yetu ndio ukweli.Kinyume chake tutateketea sote kwa ujinga wa watu wachache.
Umetumia neno "common sense" lakini umesahau kwamba common sense is not that common to all common people
 
Usiseme watanzania dizaini yako hastahili kuitwa hata mtanzania
Mm mtaliano ila huku Italia atupigi kelele za kidwanz kama mtanzania fake kama wewe ata kama tuna vifo vingi ila bado tunaamini serikali yetu.
 
Vipi umeambukizwa corona na familia yako? Na utakoma kama unasubiri serikali ikutangazie lockdown hakuna cha lockdown

lockdown ni kwa usalama wako na familia yako,haumkomoi Becky kwa kutoweka lockdown...muda ni mwalimu mzuri,leo ndio siku ya tatu ya maombi..subiri tuone yatakayojiri, boss wako katoka kujimwambafy hafungi mipaka previously mpaka kuomba tufunge kwa siku tatu...subiri nakupa na muda na wewe nione utaimba ngonjera gani..
 
Back
Top Bottom