Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Jamani msikilizeni Pole pole anasema*****
 

Attachments

  • H1GyP7BLw9Pag2AJ.mp4
    652.3 KB
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Naunga mkono hoja #1,2&4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi walinishangaza pale walipowarudisha wanafunzi wa mashuleni na vyuoni nyumbani huku wakiendelea kuruhusu watu waingie na kutoka mipakani...unaziba huku kule kuko wazi..mnhhh
Vipi umeambukizwa corona na familia yako? Na utakoma kama unasubiri serikali ikutangazie lockdown hakuna cha lockdown
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports

TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Pole kwa kuambukizwa corona mkuu na familia yako. Muombe Mungu akuepushe na kifo cha corona kwa kuwa umeambukizwa mapema sana!
 
Walaumiwe kwa kuleta Corona au? Maana ugonjwa ki vyovyote ungekuja tu.

Je watanzania dizaini yako wangekuwa kama wataliano wanavyokufa mngekuwa mnaweka UZI back to back hadi server zingesema poh humu?

Inabidi tushukuru na kuwatia moyo wale wote awalali kipindi hiki maana kwa uwezo na kwa resources tulizonazo kama nchi hamna case za vifo vingi kama huko kwa wenzetu wenye resources za kutosha kuliko Tanzania.
 
Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huru wa kupotosha mambo mnaopigia kelele, je ukiambiwa uthibitishe kwa unachokieleza hapa, upo tayari?
 
Uganda wanafight na Corona kuliko wazungu!
_20200419_204024.JPG
 
Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na mama yako amezikwa hapo mkuu?
 
Back
Top Bottom