Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Tatizo viongozi kila kitu wanahisi siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawaza Stigler's gorge na Standard Gauge. Wanamuwekea vizinga huku hela ikipiga kona!!!Namtafakari Magufuli nakosa majibu wazee...
Hivi anawaza nini!??
Because most of them are incompetent individualsTatizo viongozi kila kitu wanahisi siasa
Naunga mkono hoja #1,2&4Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports
TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Wewe tayari umelaaniwa wewe na familia yako!Awamu ya tano na ilaaniwe..
Si unaona jamaa amejificha kijijini mpaka leo..
Na bado.
Vipi umeambukizwa corona na familia yako? Na utakoma kama unasubiri serikali ikutangazie lockdown hakuna cha lockdownMimi walinishangaza pale walipowarudisha wanafunzi wa mashuleni na vyuoni nyumbani huku wakiendelea kuruhusu watu waingie na kutoka mipakani...unaziba huku kule kuko wazi..mnhhh
Amekudanganya Nani maigizo tu yaleHivi wahuni wanaweza kuwa na mihela Hadi kuwachangia viongozi wa Chadema 350,000,000/- kwa siku tatu tu!!!?
Pole kwa kuambukizwa corona mkuu na familia yako. Muombe Mungu akuepushe na kifo cha corona kwa kuwa umeambukizwa mapema sana!Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100%nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu airports
TATU mlikua mnaidharau Corona rais na makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona.Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya mloganzila imejaa ndo mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Bado hujaambukizwa mkuu? Naona una lalamika sana kila mara!Ujumbe utakuwa umefika.
Kwa taarifa yako nilishiriki field. Watu walichanga Pesa kupitia M Pesa iliyo jirani nami. Ukitaka uthibitisho nenda CRDB Bank na Mpesa huko voda utazimia!!!!Amekudanganya Nani maigizo tu yale
Walichanga jumla ya shs million tatu tu. Zingine wamekopa mkuu!Kwa taarifa yako nilishiriki field. Watu walichanga Pesa kupitia M Pesa iliyo jirani nami. Ukitaka uthibitisho nenda CRDB Bank na Mpesa huko voda utazimia!!!!
Si kweli mimi sio wa ufipa lakini simtaki kabisa huyu jamaa anayeitwa Rais. Ameshindwa kabisa hata tu kuonesha uongozi.Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao
Ndio huru wa kupotosha mambo mnaopigia kelele, je ukiambiwa uthibitishe kwa unachokieleza hapa, upo tayari?Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na mama yako amezikwa hapo mkuu?Makaburi yaliyopo mtaa wa kondo / Bahari beach kata ya kunduchi yanaelekea kujaa maana kila saa ni ving'ora na kufukia maiti ndani ya shimo/kaburi moja , kama sio wagonjwa wa corona ni nini maana huoni ndugu zaidi ya hao wazikaji , kama leo jioni zimekuja kama gari sita hivi
Sent using Jamii Forums mobile app