Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji23][emoji2960] na mtashika sana tama[emoji51][emoji51][emoji51] View attachment 1423989
Halimpati mweweDua la kuku. Endelea kulaani mkuu.
Acha upumbavu jibu comment hiyoHuu ni upumbavu, watu walipokuwa wanashauri kuwa fungeni mipaka mliwaona wajinga na ninyi mkajiona werevu na mnajua kila kitu.
Mmeharibu na kutusababishia maafa makubwa
Sasa oooh! Tuombee nchi, mara tusiamame na rais kuiombea nchi.
Mara, muda huu si wa kulaumiana tusambaze elimu.
Upumbavu mtupu,kusambaza elimu wakati adui yumo ndani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameulizwa vp hizo nchi nyengine serikali zao zilizembea Kama mipaka wamefunga Kama lockdown ipo na wanakufa vp mwenzetu au unafikiria kwa kutumia 0713Huu ni upumbavu, watu walipokuwa wanashauri kuwa fungeni mipaka mliwaona wajinga na ninyi mkajiona werevu na mnajua kila kitu.
Mmeharibu na kutusababishia maafa makubwa
Sasa oooh! Tuombee nchi, mara tusiamame na rais kuiombea nchi.
Mara, muda huu si wa kulaumiana tusambaze elimu.
Upumbavu mtupu,kusambaza elimu wakati adui yumo ndani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukule huo Hana hata ufahamu wa kujitambua mwenyewe hopeless kabisaSasa wakifa kwani nani anadhulika? Hizi akili mi za watu kama wewe mkuu. Eti watu wakifa hauna hata huruma! Hooeless kabisa. Afe mama yako pia usiwe na huruma.
Ndio ujue misukule haina ufahamu ipo tu kulaumu tu na kulazimisha serikali iwagawie chakula BasiNaona wapumbavu mlivyo wengi humu alafu mnajiita great thinkers.
Umeoewa njia za kujikinga na huu ugonjwa hutaki kuzifuata then unalaumu serikali.
Na basi mtakufa sana mipaka haifungwi.
God save us
Hadi sasa, ukiacha Zanzibar ambako wagonjwa bado wanaongezeka, Tanzania bara, kwa kiasi kikubwa umedhibitiwa. Sababu kubwa ya kudhibitiwa ni wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu, na usimamizi makini wa Serikali. Baadhi ya Mikoa imwxhukua hatua zaidi ya kuhakikisha vyombo vya usafiri na maeneo ya mikusanyiko ya watu km hospitali, masoko, nk yanapuliziwa dawa.
SureMkuu mimi sijasoma andiko lako ila nimekuja ku comment moja kwa moja... Wakulaumiwa ni Serikali kwa Asilimia 700 na sio 100... Nakuunga mkono.. Ngoja nikasome saaa nitarudi tena
Huyu ngoma ikipamba moto ataturuka tu kuwa nilimwambia mfunge na kusali hamkusikiaMkuu nafikiri kwa sasa hivi hakuna ubishi kuwa Covid-19 ni janga kubwa la kitaifa na dunia nzima.
Hao viongozi wabishi muda haupo upande wao,walifanya makosa makubwa ya kupenda pesa za watalii kuliko uhai wananchi watanzania.Leo nashangaa tunapomtania Mungu kwa maombi.Kwanini hawakutumia madaraka yao kufunga mipaka mapema?
Kwasasa Wananchi waliowengi wamemchukia kiasi cha kutisha kwa kweli waliobaki wanampenda ni Mapolisi tu kwa sababu amekuwa akiwaongezea mishahara kila wanapowapiga na kuwadhalilisha Chadema ila Zitto hawamgusi
Wapi hapa?.Njombe?Unakumbuka uongo wake mwingine wa Uchumi wa kati wakati wakati Watanzania wanaishi kwenye hizi nyumba
View attachment 1423885
Leo nimeota umepata Coronavirus dada! Kuwa makini sana kama inawezekana njoo tujilockdown na mimi ndiyo pona yako!lockdown ni kwa usalama wako na familia yako,haumkomoi Becky kwa kutoweka lockdown...muda ni mwalimu mzuri,leo ndio siku ya tatu ya maombi..subiri tuone yatakayojiri, boss wako katoka kujimwambafy hafungi mipaka previously mpaka kuomba tufunge kwa siku tatu...subiri nakupa na muda na wewe nione utaimba ngonjera gani..