Nadhani hujanielewa. Nasema kununua X3 ni cheap kuliko kununua Toyota yenye hadhi yake ila spea ni ghali.Haya tuambie Radiator ya X3 ni shilingi ngapi? Bila kusahau water pump yake..hapo kama hauna 1.7m haupati hivyo vitu...
Sawa mkuu sasa option bora ni ipi? Kuumia wakati wa kununua au kuumia wakati wa maintenance...?ππNadhani hujanielewa. Nasema kununua X3 ni cheap kuliko kununua Toyota yenye hadhi yake ila spea ni ghali.
Ipi rahisi? Kunywa dawa chungu 24 kwa lisaa au kunywa kila lisaa kwa siku nzima?Sawa mkuu sasa option bora ni ipi? Kuumia wakati wa kununua au kuumia wakati wa maintenance...?ππ
Yote ni kitu kile kile kunywa dawa...πππIpi rahisi? Kunywa dawa chungu 24 kwa lisaa au kunywa kila lisaa kwa siku nzima?
Hahaha.Yote ni kitu kile kile kunywa dawa...πππ
Kuna haka ka kitu embu jaribu kukangalia, jina ndo limenitoka kidogo- ila ni kama valve, kaki-jam kanakuwa na mauzauza kama hayo. Dawa yake ni grease tuKausafiri kangu ka 1ZZ-FE nilikasusa baada ya kuona hali ya sheli imekuwa tete nikaamua niimarishe mwili kwa miezi kadhaa.
Juzi niliamua kukiamsha kwa kukifanyia major service. Sasa kuna tabia ya ajabu imejitokeza japo ilikuwapo ila kwa sasa imezidi. Sikuzote nilifikiri huenda ni transmission fluid imechoka, nikaweka mpya na kusafisha filter yake.
Nimeweka na oil mpya na filter ya engine. Engine inakimbia kwenye 1100 rpm ikiwa idle hata baada ya engine kupata joto vizuri. Ukiweka kwenye gear yeyote iwe R au D inarudi 600rpm. Ukiweka neutral inaanza kukimbia tena kwenye 1100-1200 rpm.
Shida inaweza kuwa nini maana plugs nazo nilibadilisha tayari. Kwa hio rough idle hata wese haliwezi kuwa linaenda sawa.
Nashukuru sana mkuu ngoja nitafute hio ya kusafishiaHaha mkuu leo namimi nikushauri kitu fundi mtaalam wewe, hilo ni tatizo dogo sana tuliaa
Hey guys chris fix here[emoji23][emoji23][emoji23] hapo safisha throttle body vizuri tu gari imeaccumulate carbs hapo inashindwa kupumua vizuri kwenye low rpms air itake valve inachanyikiwa kubalance hewa kwenda kwenye engine, solution safisha huo mdomo vzuri na tishu/throttle cleaner au hata na wipes utakubali shoo. Chukua desa hapo chini
Pipe gani mkuu,i have the same problemKuna kipaipu flani kilikuwa hakijachomekwa kwenye mahali pake ndio ilikuwa inapelekea ile rough idle
Umetupiwa jiniKausafiri kangu ka 1ZZ-FE nilikasusa baada ya kuona hali ya sheli imekuwa tete nikaamua niimarishe mwili kwa miezi kadhaa.
Juzi niliamua kukiamsha kwa kukifanyia major service. Sasa kuna tabia ya ajabu imejitokeza japo ilikuwapo ila kwa sasa imezidi. Sikuzote nilifikiri huenda ni transmission fluid imechoka, nikaweka mpya na kusafisha filter yake.
Nimeweka na oil mpya na filter ya engine. Engine inakimbia kwenye 1100 rpm ikiwa idle hata baada ya engine kupata joto vizuri. Ukiweka kwenye gear yeyote iwe R au D inarudi 600rpm. Ukiweka neutral inaanza kukimbia tena kwenye 1100-1200 rpm.
Shida inaweza kuwa nini maana plugs nazo nilibadilisha tayari. Kwa hio rough idle hata wese haliwezi kuwa linaenda sawa.