Tatizo la Feisal liko wapi?

Kwani si hata kesi ya Morrison yanga walishinda TFF walipoenda CAS nani aliibuka mshindi?
We unamuamini kidau na karia.
Daaah kaka yaani unazidi kutoa boko, kama kitu hujui bora kunyamaza tu.Yaani Yanga ashinde bado akate rufaa aende CAS duuh hii kali.
 
Kwahiyo anaenda CAS kuwashitaki TFF au Yanga? Au anaenda CAS kuwaomba wamsaidie kuvunja mkataba wake na Yanga mkataba ambao hautumikii mpaka leo? Natafakari nakuta maswali ni mengi kuliko majibu.
Anaenda CAS ili awe huru na hata kama ameshindwa kesi basi yupo tayari kulipa fidia.
 
Daaah kaka yaani unazidi kutoa boko, kama kitu hujui bora kunyamaza tu.Yaani Yanga ashinde bado akate rufaa aende CAS duuh hii kali.
Point yangu ni kwamba TFF hakuna haki ndio maana sio maamuzi ya kuyaamini ila unajitoa ufahamu TFF hawawezi wakasema simba au yanga ina makosa kwenye upande wa wachezaji kwani wachezaji wengi walishawahi kwenda TFF kudai haki akiwemo Kelvin yondani ila waliambulia patupu ndio maana naamini CAS ndio kwenye maamuzi sahihi ila sio TFF kama nyinyi yanga mlivyobebwa kwenye sakata la TFF dhidi ya hasani kesi simba ikaamua bora yaishe kiume sasa nyinyi mnashindwa nini kumaliza hili swala kiume kama kosa lishafanyika tayari.
 
Sawa mbona kwa Morrison tulishindwa na kamati iliyo simamia kesi ya Morrison ndio hii ya inayo simamia kesi ya Fei.

Au wewe unaona haki imetendeka kama Yanga akishindwa?

Kama CAS ina maamuzi sahihi why akomae na TFF mara tatu?
 

Ehee si ndiyo Uhuni wenyewe huo? Mkataba hauvunjwi online(email/facebook/instagram).

Kwanza mna discuss mnafikia muhafaka then ndiyo email inafuata kwa "As Discussed over the Phone or As per our conversation/discussion" ,huyo AMIJEI amekurupuka from nowhere anatuma 112m na yanga wameirudisha kwasababu hawajui hizo 112m za nini na hiyo email ndiyo ikawazindua kwamba kumbe ni kuvunja mkataba.
 
Unaelewa kuvunja mkataba bila kuwa na sababu nayo ni sheria ambayo inatambulika?

Unaelewa sio lazima mfanye mutual agreement ndio mkataba uvunjwe?
 
Unaelewa kuvunja mkataba bila kuwa na sababu nayo ni sheria ambayo inatambulika?

Unaelewa sio lazima mfanye mutual agreement ndio mkataba uvunjwe?

Mimi siyo mwanasheria mkuu ila TFF washalimaliza hilo na wameshampa majibu fei na bushlawyers wake.

Waende CAS tuone watakavyodondokea Pua.
 
Mimi siyo mwanasheria mkuu ila TFF washalimaliza hilo na wameshampa majibu fei na bushlawyers wake.

Waende CAS tuone watakavyodondokea Pua.
Wanaenda CAS kupinga hukumu iliyotolewa na TFF naona Yanga mnawasiwasi mnahisi nyie ndio mnapelekwa CAS
 
Mkuu hyo jamaa anajiona professor kabudi maana yeye anavyoelezea ni kama tayari yanga wameshinda kesi wakati kwenye kesi mtu yoyote anaweza shinda lakini jamaa kashatoa hukumu wakati wala hajui kwenye mkataba kuna vipengele gani
 
Mimi siyo mwanasheria mkuu ila TFF washalimaliza hilo na wameshampa majibu fei na bushlawyers wake.

Waende CAS tuone watakavyodondokea Pua.
Unamuita jasmine razak bushlawyer wakati ni mwanasheria Anayeaminika Africa ameshinda kesi ya msuva alimsimamia Emanuel ebou ila alikwama kwasababu alikosa running cost ikawa ebou analala kwa jasmine Leo unamuita kilaza mbele ya Simon Patrick mwanasheria wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.
 
Mke akikukana mchana kweupe mbele ya watu ina Maana humridhishi. Achana naye tafuta mwingine unaeendana nae. Ukimng'ang'ania ipo siku atakuaibisha zaidi ya hapo.

Yanga mwacheni Feisal aende kunakomfaa.
 
Kesi ya Feisal na Msuva zina fanana?
 
Kuna watu ni wazito sana kuelewa slow learners, ni kupoteza muda kumjibu mtu kama huyu.

Kifupi Fei aende ofisi za Yanga akavunje mkataba wake.
We ndio huelewi kwani si alishaomba kuvunja yanga na tff hawataki,
Haya maamuzi sijui ya wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…