joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Daaah kaka yaani unazidi kutoa boko, kama kitu hujui bora kunyamaza tu.Yaani Yanga ashinde bado akate rufaa aende CAS duuh hii kali.Kwani si hata kesi ya Morrison yanga walishinda TFF walipoenda CAS nani aliibuka mshindi?
We unamuamini kidau na karia.