Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

Revolution 22

Member
Joined
Jun 11, 2021
Posts
63
Reaction score
141
Wakuu mambo vp? Poleni na hongeren mnaondelea na mfungo, kwa wenye ufahamu na hlii gari yangu ni toyata IST cc 1290 imekuwa ikiishiwa nguvu na kuchelewq kubadilisha gia hasa nikiwa kwenye muinuko hata wakawaida,lakini pia nikiweka gia ya nyuma bado inakuwq nzito kuchanganya shida inaweza kuwa nn wakuu?
 
Ni gari gani?

Angalia:

1. Plugs.
2. Mfumo wa Hewa.
3. Horse Kama zimepasuka.
4. Issue za umeme!
5. Gear zinabadilika

Kama zote hapo juu zipo sawa:

Rudi kwenye engine, Km zake, Mara nyingi ni Mwanzo wa kuelekea kufanya overhaul ya gari!
 
Wakuu mambo vp? Poleni na hongeren mnaondelea na mfungo, kwa wenye ufahamu na hlii gari yangu ni toyata IST cc 1290 imekuwa ikiishiwa nguvu na kuchelewq kubadilisha gia hasa nikiwa kwenye muinuko hata wakawaida,lakini pia nikiweka gia ya nyuma bado inakuwq nzito kuchanganya shida inaweza kuwa nn wakuu?
Haichomi huenda angalia koili zake na plugs kwanza.
 
Ni gari gani?

Angalia:

1. Plugs.
2. Mfumo wa Hewa.
3. Horse Kama zimepasuka.
4. Issue za umeme!
5. Gear zinabadilika

Kama zote hapo juu zipo sawa:

Rudi kwenye engine, Km zake, Mara nyingi ni Mwanzo wa kuelekea kufanya overhaul ya gari!
Overhaul ya Toyota ist yenye engine ya 2nz inaweza kuwa bei gan mkuu
 
Overhaul ya Toyota ist yenye engine ya 2nz inaweza kuwa bei gan mkuu

Kama ni IST ni rahisi sana, mi nilifikiri ni haya magari yetu utata! Overhaul ni kama laki 9, ila sio kwa mafundi wa Dar aisee!

Kama unaishi Dar mji busy, mafundi wote wa magari ni wezi hawaaminiki.

Jaribu sana kutafuta fundi anayeaminika aliangalia, muhimu sana, yaweza Kuwa jambo dogo!
 
Nicheki huyu Jamaa yupo Dampo Tabata:

0755 399 613.

Anaitwa John, huyu jamaa ni mwaminifu sana

Au huyu:
Comment yako hii, #8, inaipinga comment yako #7

1741147631843.png
 
Kama ni IST ni rahisi sana, mi nilifikiri ni haya magari yetu utata! Overhaul ni kama laki 9, ila sio kwa mafundi wa Dar aisee!

Kama unaishi Dar mji busy, mafundi wote wa magari ni wezi hawaaminiki.

Jaribu sana kutafuta fundi anayeaminika aliangalia, muhimu sana, yaweza Kuwa jambo dogo!
Shukran mkuu ngoja nilifanyie kazi hili
 
Na mimi naomba wataalamu mnisaidie, nina Mazda Demio ya 2003. Gari ikitembea km kadhaa tuseme km 6+ inaanza kuwa nzito , Nimebadilisha plug mara 2, nimemwaga oil ya injini kama wiki 3 zilizopita, nimesafisha nossel. Lakini kabla ya hapo kama mwezi wa 9 mwaka jana ilibadilisha pumpya mafuta maana ilileta shida(ilishindwa kufanyakazi). Mwezi December 2025 pump ikafa tena, nikaweka nyingine, tokea hilo tatizo la kupoteza nguvu limekuwa likionakana zaidi. Na pia nasikia muungurumo kutoka kwenye tank ambao sio wa kawaida kama mvumo flani hivi. Na ukikanyqkq sana pedo gari inaongeza mwendo lakini unapata mseleleko usio laini, unakuwa kama mseleleko wa kuburuta. Na kwenye dash board hakuna warning light yoyote inayowaka. Naombeni ushauri wa kitaalamu nianze kucheki kitu gani.
 
Nilipata shida hii siku moja pump ikafa ghafla kubadilisha tatizo likaisha kumbe issue ilikuwa pump na nilikuwa nimehangaika sana na mafundi kila mmoja ananiambia lake.
 
Back
Top Bottom