Tatizo la gear kwenye Harrier 3.0L

Nikweli kabisa hapo dawa ni kununua gear box tu na bahati siyo bei mbaya
 
Mkuu kwa maelezo yako naona una kitu unacho,naomba unisaidie tatizo la kagari kangu RAV4 3s tatizo ni pale unapo engage gear inalia sana ama inastuka tatizo ni lipi?
 
Makosa
  1. Gear Box hubadilishwa kila baada yaa km 6000
  2. Engine oil kila baada ya km 3000.
Hao mafundi wako ni kimeo. Na je upo Dar? Kama upo Dar basi ujue unapofanyia service walishakuloga na kukufanya ukubali kila wanachokuambia.
Ndugu kubadilisha oil yoyote inategemea na ubora wa oil
 
Kama mafundi wanabahatisha jaribu kwa waganga wa kienyeji maana mafundi hawaaminiki kabisa.
 
Sasa 140 inafikaje wakati gear mwisho ni 4 na 4 haingii?
 
Sasa 140 inafikaje wakati gear mwisho ni 4 na 4 haingii?
Kwani wewe mkuu unadhani kama 4 haifiki ukawa umekanyagia mafuta speedometer itasoma mwisho ngapi? Gear 3 inafika hata 160kph.

Tatizo utakuwa unahatarisha gari lako kwani inafika speed hiyo rpm zikiwa juu mno, na hii itakusababisha uue engine!

Ukitaka experience muone mtu yoyote wa auto (maximum gear no. 4) aweke off over drive uone kama hiyo number 3 haiwezi fika 140kph!
 
ni kweli mkuu, harrier ni gari complicated, ikipata hitilafu inatakiwa apatikane fundi mzuri sana wa kurekebisha. nina experience na harrier
 
Duh hapa nimejifunza kitu. Kumbe watu tunaendesha tu magari lakini kuna vitu vingi hatujui.
 
Mkuu kwa maelezo yako naona una kitu unacho,naomba unisaidie tatizo la kagari kangu RAV4 3s tatizo ni pale unapo engage gear inalia sana ama inastuka tatizo ni lipi?
Lazima ifanyiwe diagnosis ili tujue mbona pressure haiko sawa!
 
Samhani mkuu...naomba namba yako kuna kitu nataka nikuulize kuhusu harrier
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…