hekimaufahamu
Member
- Jun 12, 2017
- 42
- 30
Umeniuliza ina km ngapi? Anyway hongera mwenye uwezo wa kununua gari mpya!mnanunua magari mazee mileage nyingi unategemea nini
Nikweli kabisa hapo dawa ni kununua gear box tu na bahati siyo bei mbayaMy take:! Ukienda ilala kanunue gearbox used japan ila sio kingine utaikimbia hiyo gari kwa gear tu na si utani pale ilala wameni7bbsha mpaka leo nikiona gari yoyote ya automatic naona kama ni kichwa cha kuku!!: yalinikuta kwenye hiyo hiyo harrier tulipambana na gear mwishoe waka ua na diff ya four-wheel kwenye test na baada ya miaka kadhaa nikakumbana nao kwenye subaru legacy ya 1999 na cc1999 auto_manual kwa ujumla mpaka leo kila nikiona mtu ana iendesha naona kama ni jini kumbe nilikuja kubaini hizi gari haziitaji mafundi wa ilala ila kwa bahati mbaya sikuwafahamu mafundi husika kabla
Ukinunua gear box utakuwa umemaliza tatizoThanks! Nipo mikoani ngoja nipambane! Ikibidi kununua gear box basi hamna namna!
Mkuu kwa usawa huu wa viwanda kununua gari inabidi ujipangeGari ishakufa iyo uza nunua mpya ilo ndo soluhisho...
Mkuu kwa maelezo yako naona una kitu unacho,naomba unisaidie tatizo la kagari kangu RAV4 3s tatizo ni pale unapo engage gear inalia sana ama inastuka tatizo ni lipi?Vipi kaka
Hiyo diagnosis uliyofanyiwa bado haijaweza kuwasiliana na transmission! Knock sensor ipo kwenye engine (block to be specific) na kazi yake uhusiana na dynamic ignition timing.
Kuifanyia diagnosis kamili unahitaji Toyota Techstream na sio mashine za code reader. Techstream itakupa information na data yote ya mifumo YOTE ya gari. Hii ndio system wanatumia wakala na mafundi stadi wa Toyota.
Kulingana na maelezo yako, transmission oil unabadilosha ikiwa bado sawa; 15000km ni mapema sana kwa transmission oil. Engine oil inayofaa kutumia ni SYNTHETIC, GTX ni jina tu la mauzo na sio aina wala quality ya juu. Linganisha na Total Quartz 9000 ambayo ni synthetic base oil na utajionea tofauti kw bidhaa yenyewe na pia kw matumizi yake.
Back to your problem; hiyo transmission first yafaa kufanyiwa diagnosis na solution itapatikana hapo. Usijaribu kuwapa 'wasanii' wajaribu kuifungua! Ukitaka ushauri zaidi au huduma ya kiufundi wasiliana nami kw inbox!
Ndugu kubadilisha oil yoyote inategemea na ubora wa oilMakosa
Hao mafundi wako ni kimeo. Na je upo Dar? Kama upo Dar basi ujue unapofanyia service walishakuloga na kukufanya ukubali kila wanachokuambia.
- Gear Box hubadilishwa kila baada yaa km 6000
- Engine oil kila baada ya km 3000.
Kama mafundi wanabahatisha jaribu kwa waganga wa kienyeji maana mafundi hawaaminiki kabisa.Umetumia kigezo gani kujua mimi ni mvivu wa service? Oil ya gear box nabadirisha kila baada ya 15,000km, engine oil baada ya 4,000km. Na kila ninapohisi ina tatizo naenda garage! Tatizo nililojifunza ni kwamba haya magari hakuna mafundi wazuri, waliopo walio wengi wanabahatisha!
Jifunze kutokukurupuka!
Sasa 140 inafikaje wakati gear mwisho ni 4 na 4 haingii?Mkuu, ninachokiongea ni uzoefu wa gari ambalo nimekaa nalo nearly miaka miwili sasa! Ni gari ninalolijua! Gear namba 4 inapatikana kuanzia 70 kuendelea. Nishajaribu kwa sasa unaweza ukafika hata 140kph upo tatu. Ninachofanya sasa nina drive over drive button ikiwa off ili nicheze na gear 1-3 tu. Kwa hiyo tatizo lipo!
Wewe umenielewa, ni kweli kabisa. Kwa oil ninayotumia mimi ndivyo napaswa kubadili.Ndugu kubadilisha oil yoyote inategemea na ubora wa oil
Kwani wewe mkuu unadhani kama 4 haifiki ukawa umekanyagia mafuta speedometer itasoma mwisho ngapi? Gear 3 inafika hata 160kph.Sasa 140 inafikaje wakati gear mwisho ni 4 na 4 haingii?
Naona uwezo wako wa kufikiri ndo unaishia hapo, pole!Kama mafundi wanabahatisha jaribu kwa waganga wa kienyeji maana mafundi hawaaminiki kabisa.
ni kweli mkuu, harrier ni gari complicated, ikipata hitilafu inatakiwa apatikane fundi mzuri sana wa kurekebisha. nina experience na harrierUmetumia kigezo gani kujua mimi ni mvivu wa service? Oil ya gear box nabadirisha kila baada ya 15,000km, engine oil baada ya 4,000km. Na kila ninapohisi ina tatizo naenda garage! Tatizo nililojifunza ni kwamba haya magari hakuna mafundi wazuri, waliopo walio wengi wanabahatisha!
Jifunze kutokukurupuka!
Ipo hapo round about ya samaki kama unataka kuelekea kwenye hiyo hotel mpya inayojengwaIko wapi mkuu?
Thanks mkuu! Nitaenda hapo nikacheki.Ipo hapo round about ya samaki kama unataka kuelekea kwenye hiyo hotel mpya inayojengwa
Lazima ifanyiwe diagnosis ili tujue mbona pressure haiko sawa!Mkuu kwa maelezo yako naona una kitu unacho,naomba unisaidie tatizo la kagari kangu RAV4 3s tatizo ni pale unapo engage gear inalia sana ama inastuka tatizo ni lipi?
Asnte sana mkuu kwa ushauriLazima ifanyiwe diagnosis ili tujue mbona pressure haiko sawa!
Samhani mkuu...naomba namba yako kuna kitu nataka nikuulize kuhusu harrierThanks kaka, ni gari zuri sana na kifupi halina changamoto kuubwa, sema changamoto ya Magari haya ya kisasa ni mafundi. Kiufupi mafundi wazuri ni ngumu sana kuwapata lakini kiuhalisia haya matatizo ni ya kawaida kabisa.
Kitu kingine pia spear zake ziko juu kidogo na ulaji wa mafuta inategemea uendeshaji wako ila ina range 8-10km/Ltr. Hii ni sisi wa mikoani sasa mijini nasikia wanaziogopa sana gari hizi unapoongelea foleni! Hasa foleni kama za Dar!
Njoo inbox mkuu!Samhani mkuu...naomba namba yako kuna kitu nataka nikuulize kuhusu harrier