muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Wanabodi,
Nina gari langu sasa ambalo linatembea ila lina shida inayonisumbua leo miezi mitatu tangu lianze na kila ninapolitatua halitatuliki.
Taa ya check engine huwa inawaka hasa nikiendesha speed walau ya 80 kwa kama km 30.
Nikiendesha pia zaidi ya speed ya 70 gear number 4 inagoma ku engage!
Nimeshafanya diagnosis kila mara inasema tatizo ni knock sensor ya bank 2. Je, matatizo ya knock sensor na ku-engage gear number 4 yanauhusiano? Je matatizo haya yanatatulika?
Msaada jamani!
Nina gari langu sasa ambalo linatembea ila lina shida inayonisumbua leo miezi mitatu tangu lianze na kila ninapolitatua halitatuliki.
Taa ya check engine huwa inawaka hasa nikiendesha speed walau ya 80 kwa kama km 30.
Nikiendesha pia zaidi ya speed ya 70 gear number 4 inagoma ku engage!
Nimeshafanya diagnosis kila mara inasema tatizo ni knock sensor ya bank 2. Je, matatizo ya knock sensor na ku-engage gear number 4 yanauhusiano? Je matatizo haya yanatatulika?
Msaada jamani!