Styvo254
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 246
- 227
Vipi kaka
Hiyo diagnosis uliyofanyiwa bado haijaweza kuwasiliana na transmission! Knock sensor ipo kwenye engine (block to be specific) na kazi yake uhusiana na dynamic ignition timing.
Kuifanyia diagnosis kamili unahitaji Toyota Techstream na sio mashine za code reader. Techstream itakupa information na data yote ya mifumo YOTE ya gari. Hii ndio system wanatumia wakala na mafundi stadi wa Toyota.
Kulingana na maelezo yako, transmission oil unabadilosha ikiwa bado sawa; 15000km ni mapema sana kwa transmission oil. Engine oil inayofaa kutumia ni SYNTHETIC, GTX ni jina tu la mauzo na sio aina wala quality ya juu. Linganisha na Total Quartz 9000 ambayo ni synthetic base oil na utajionea tofauti kw bidhaa yenyewe na pia kw matumizi yake.
Back to your problem; hiyo transmission first yafaa kufanyiwa diagnosis na solution itapatikana hapo. Usijaribu kuwapa 'wasanii' wajaribu kuifungua! Ukitaka ushauri zaidi au huduma ya kiufundi wasiliana nami kw inbox!
Hiyo diagnosis uliyofanyiwa bado haijaweza kuwasiliana na transmission! Knock sensor ipo kwenye engine (block to be specific) na kazi yake uhusiana na dynamic ignition timing.
Kuifanyia diagnosis kamili unahitaji Toyota Techstream na sio mashine za code reader. Techstream itakupa information na data yote ya mifumo YOTE ya gari. Hii ndio system wanatumia wakala na mafundi stadi wa Toyota.
Kulingana na maelezo yako, transmission oil unabadilosha ikiwa bado sawa; 15000km ni mapema sana kwa transmission oil. Engine oil inayofaa kutumia ni SYNTHETIC, GTX ni jina tu la mauzo na sio aina wala quality ya juu. Linganisha na Total Quartz 9000 ambayo ni synthetic base oil na utajionea tofauti kw bidhaa yenyewe na pia kw matumizi yake.
Back to your problem; hiyo transmission first yafaa kufanyiwa diagnosis na solution itapatikana hapo. Usijaribu kuwapa 'wasanii' wajaribu kuifungua! Ukitaka ushauri zaidi au huduma ya kiufundi wasiliana nami kw inbox!