Hello Gentleman and ladies Nina ndugu yangu ana kisukari type 2 ambacho kinapanda hadi 17 ,anatumia dawa aina ya metroformin 500mg lakini hazimsaidii ,Kama kuna mtu anayejua Dawa mbadala au ya phamacy naombeni msaada wenu please .
Have a great day you guys.
Hii ni solution tosha lakini kwa sisi waafrika ni ngumu sana kuifuata.Je? nafuata masharti?
Afanye haya
Pia majani ya mlonge naskia ni dawa nzuri sana. (google upate njia sahihi ya namna ya kutumia)
- Apunguze sana kula wanga. Awe anatumia dona mchele brown ila kwa kiasi kidogo
- Soda na bia asiguse kabisa.
- Ale matinda kwa wingi (sio yale yenye sukari sana. Hapa afuate ushauri wa daktari)
- Anywe maji kwa wingi, sio chini ya lita tatu kwa siku. Na usiku pia awe anakunywa maji kila baada ya kutoka haja ndogo. Kunywa maji mengi yanasaidia ku -dilute sukari mwilini.
- Awe anafanya mazoezi kila siku. Ahakikishe anaspend dkk 30 kila siku za mazoezi hasa jogging. Mazoezi lazima yawe yakusabaisha moyo kwenda mbio na kutokwa jasho.
Regards
Naomba tuwasiliane ninadawa nzuri sana inauwezo wa kumaliza tatizo kabisa ni dawa ya mitishamba au tiba mbadala iko vizuri sana kwenye matatizo hayo.pia tunadawa nzuri ya pressure,moyo mkubwa,kansa, uvimbe tumboni na mengineyo ambayo ni sugu mfano ini;figo;bandama nkWakuu habar za jioni, naomba msaada iwapo kuna tiba mbadala ya kisukar.
Nina ndugu yangu anaugua alipoenda kupima hospital akaambiwa ni kisukari kipo katika hatua za mwanzo.
Naomba msaada wenu kabla hakijafika hatua nyingine, asanten sana.
Naomba tuwasiliane ninadawa nzuri sana inauwezo wa kumaliza tatizo kabisa ni dawa ya mitishamba au tiba mbadala iko vizuri sana kwenye matatizo hayo.pia tunadawa nzuri ya pressure,moyo mkubwa,kansa, uvimbe tumboni na mengineyo ambayo ni sugu mfano ini;figo;bandama nk 0752097770:
Chumvi hushusha kisukari?Chumvi
Unafikiria na hiyo asshole WTFAungamishe vikojolea saana itamsaidia kuburn excess sugar mwilini na afanye physical exercise
What a contradiction apunguze sana kula wanga then awe anakula dona ? Basi mwambie ale wanga wenye fibre nyingi kitu ambacho sio tiba anywayJe? nafuata masharti?
Afanye haya
Pia majani ya mlonge naskia ni dawa nzuri sana. (google upate njia sahihi ya namna ya kutumia)
- Apunguze sana kula wanga. Awe anatumia dona mchele brown ila kwa kiasi kidogo
- Soda na bia asiguse kabisa.
- Ale matinda kwa wingi (sio yale yenye sukari sana. Hapa afuate ushauri wa daktari)
- Anywe maji kwa wingi, sio chini ya lita tatu kwa siku. Na usiku pia awe anakunywa maji kila baada ya kutoka haja ndogo. Kunywa maji mengi yanasaidia ku -dilute sukari mwilini.
- Awe anafanya mazoezi kila siku. Ahakikishe anaspend dkk 30 kila siku za mazoezi hasa jogging. Mazoezi lazima yawe yakusabaisha moyo kwenda mbio na kutokwa jasho.
Regards
Atafune majani mateke ya maenbe majani kama 6 au ayaponde na kuyaloweka all night long then anywe hiyo juiceMleta mada amemaanisha dawa itakayoleta relief katika critical stage, hayo mazoezi ni hatua ya baadae hali ikiwa stable.
What a contradiction apunguze sana kula wanga then awe anakula dona ? Basi mwambie ale wanga wenye fibre nyingi kitu ambacho sio tiba anyway
Aondoe wanga na sukari kwenye mlo wake japo kwa wiki Tatu huku akiongeza intake ya mafuta mazuri na protein kidogo. Wanga na starch ni pamoja na vile vya kwenye matunda.matunda abaki na parachichi na Tango
Then
Lete mrejesho
Hii ni solution tosha lakini kwa sisi waafrika ni ngumu sana kuifuata.
Nilimjaribisha mama yangu akapigia ndugu zake simu kwamba mie na mke wangu tunamnyanyasa na kumnyima vyakula, nilinyanyua mikono
Vema zaidi ujue kama alipata elimu ya fya kwa mtu mwenye tatizo la kisukali,nikiwa na maana ya "good eating habit",unachotakiwa kujua ni kuwa utaratibu zote za mashariti ya chakula anazifuata na alifundishwa vizuri hospital baada ya kugundulika ana hilo tatizo,maana sukari inatoka kwenye vyanzo vya pembeni "exogenous source" kama vile chakula na mwili hauwezi kuitumia kwa ukamilifu kulingana na ugonjwauliopo mwilini .Hello Gentleman and ladies Nina ndugu yangu ana kisukari type 2 ambacho kinapanda hadi 17 ,anatumia dawa aina ya metroformin 500mg lakini hazimsaidii ,Kama kuna mtu anayejua Dawa mbadala au ya phamacy naombeni msaada wenu please .
Have a great day you guys.
Ubarikiwe .unajua unachoongea mkuu wangu .Vema zaidi ujue kama alipata elimu ya fya kwa mtu mwenye tatizo la kisukali,nikiwa na maana ya "good eating habit",unachotakiwa kujua ni kuwa utaratibu zote za mashariti ya chakula anazifuata na alifundishwa vizuri hospital baada ya kugundulika ana hilo tatizo,maana sukari inatoka kwenye vyanzo vya pembeni "exogenous source" kama vile chakula na mwili hauwezi kuitumia kwa ukamilifu kulingana na ugonjwauliopo mwilini .
Dawa anaweza kutumia ni "Gemer 1(metformin 500mg+Glimepride 1mg),au Gemer 2(metformin 500mg+Glimepride 2mg),lakini pia anaweza kutumia Metformin + Glibenclamide kwa dose kubwa kulingana na "response" ya mgonjwa kadri Daktari atakavyoona inafaa.