Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Aendelee kufanyiwa matibabu hospitalini au kwa daktari wake at the same time aendeelee pia kutafuta uponyaji kwa Mungu (kanisani au kwa mtumishi SAHIHI wa MUNGU) baada ya mda itamlazimu apime kwa daktari ili athibitishe kua ugonjwa umeondoka au haupo tena. eg kwa wale wa kristo,

Yesu alipowaponya wale watu wenye ukoma na kuwaambia waende wakajionyeshe kwa makuhani wao. Kumbuka kipindi kile wenye ukoma walikua hawachangamani na watu wazima (walikuwa wanatengwa) na makuhani ndio waliokua wanathibisha kama umepona ukoma au la na kama wakithibitisha kua umepona ukoma ndipo walikua wanakupa idhini ya kuchangamana na wengine, ndio logic ya Yesu kusema mkajioneshe kwa makuhani. KIUFUPI, Yesu alikua anaponya ukoma ila waliokua wanathibitisha kua umepona ni Makuhani na sio Yesu.

Anayetakiwa akuambie uache dawa ni daktari na sio kanisa. Binafsi nimepona hiv, nkitulia siku ntaweka mkasa mzima ili watu waweze jifunza jambo
 

Kama kweli ulipona HIV ni bra uweke mkasa wako wengi wajifunze.

Hongera sana kwa kupona mkuu
 
Mkuu pole kwa kuhangaika na kujitibia Maradhi yako ya Kisukari nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona maradhi yako kwa muda wamiezi 2 utapona kwakutumia dawa zangu.



 
nina miaka 6 now
 
Miaka 6 now
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…