Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Nitampigia mkuu nimuelezee kwanza then ata nikikupa no yake ni rahisi coz atakuwa anajua issue husika, kimsingi jitahidi tu unikumbushe incase nikujisahau.NAOMBA please
Aendelee kufanyiwa matibabu hospitalini au kwa daktari wake at the same time aendeelee pia kutafuta uponyaji kwa Mungu (kanisani au kwa mtumishi SAHIHI wa MUNGU) baada ya mda itamlazimu apime kwa daktari ili athibitishe kua ugonjwa umeondoka au haupo tena. eg kwa wale wa kristo,Nimekuelewa vizuri mkuu, ila unaposema plan B maana yake aache plan A sababu imeshindwa.
Kuhusu kanisani mengi ya makanisa akienda ataambiwa aache dawa na kutegemea maombi.
Sijajua hao walioponea kanisani kama waliacha dawa au waliendelea kutumia dawa na maombi.
Aendelee kufanyiwa matibabu hospitalini au kwa daktari wake at the same time aendeelee pia kutafuta uponyaji kwa Mungu (kanisani au kwa mtumishi SAHIHI wa MUNGU) baada ya mda itamlazimu apime kwa daktari ili athibitishe kua ugonjwa umeondoka au haupo tena. eg kwa wale wa kristo, Yesu...
Thanks, Glory be to GodKama kweli ulipona HIV ni bra uweke mkasa wako wengi wajifunze.
Hongera sana kwa kupona mkuu
Amen , kama hutojali elezea wako kwa kifupi mkasa wako mkuu tujifunzeThanks, Glory be to God
Just relax, siku ntaweka kwenye jukwaa la mahusiano coz ni story ndefu kdogo, siwezi elezea hapa sasaAmen , kama hutojali elezea wako kwa kifupi mkasa wako mkuu tujifunze
Sawa mkuuJust relax, siku ntaweka kwenye jukwaa la mahusiano coz ni story ndefu kdogo, siwezi elezea hapa sasa
Nasubiri
Mkuu pole kwa kuhangaika na kujitibia Maradhi yako ya Kisukari nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona maradhi yako kwa muda wamiezi 2 utapona kwakutumia dawa zangu.Habari Leo wadau naomba msaada as wadau kuhusu ugonjwa kisukari.nimeangaika kila kona nimekunywakaribu dawa nyingi na nimetumia hela nyingi sana mpk sasa nimekata tamaa naona nasubiri tu kudra za mungu manake hela tena sina sukari ipo juu kushuka ni mpk dawaza hospital inashuka kidogo tu.naomba msaada jamani sukari inanitesa nimeisha nimebaki skeleton
nina miaka 6 nowPole sana kiongozi, Kisukari ni chronic illness, na haina tiba yakuondosha ugonjwa mmoja kwa mmoja ila kuna dawa za kumaintain certain level za sukari mwilini.
Itakua vizuri ukisema hili tatizo umelipata muda gani, je umezaliwa nalo au umelipatia ukubwani. Hivi vitu vitasaidia kujua dawa ya kutumia kwa sababu zinatafautiana pia.
Mbali na matumizi ya dawa mgonjwa wa kisukari anashauriwa kufata chakula maalumu (diabetic plate), mazoez angalau kwa dakika 30 yatakayokutoa majasho.
kwa uchache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 6 nowPole sana kiongozi, Kisukari ni chronic illness, na haina tiba yakuondosha ugonjwa mmoja kwa mmoja ila kuna dawa za kumaintain certain level za sukari mwilini.
Itakua vizuri ukisema hili tatizo umelipata muda gani, je umezaliwa nalo au umelipatia ukubwani. Hivi vitu vitasaidia kujua dawa ya kutumia kwa sababu zinatafautiana pia...
Miaka 6Una muda gani toka ugundulike una kisukari mkuu
Pole sana mkuu huu ugonjwa naona umekuwa kama ugonjwa wa taifaMiaka 6
Hapana nipombona ata msg nilikutumia
PoleNilipogundulika nina diabetes nilichanganyikiwa na masharti mengi niliyoelezwa na madaktari na watu wengine kuhusu kula mpaka nilipoelekezwa na doctor mmoja kuwa naweza kula vyakula vya kawaida lakini badala ya kula milo 3 mikubwa nile milo 5 midogo kwa siku,mafuta yanayokatazwa ni yanayotokana na wanyama,kijiko 1-2 cha mafuta yoyote ya mimea ni nzuri...