Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Watu wachache wanataka wachukue mali yote ya nchi.
Wanataka wachukue kila kitu: dhahabu,almasi.
In fact,almasi hatuisikii kabisa.
Inanikumbusha zamani nilipokuwa shule ya msingi boarding school.
Nikaenda nyumbani weekend nikarudi na keki.
Nimekaa dormitory nakula keki na rafiki yangu yupo pembeni nimesahau kumkaribisha.
Yule rafiki yangu akaniuliza,"Hiyo keki unayokula,ni tamu?"
Nasikitika kuhusu ubinafsi katika nchi hii.
Ubinafsi,tatizo la nchi na tatizo la nchi nyingi pia.
Kinachohitajika ni tuwe na Chama cha siasa ambacho kitajengwa katika msingi wa kuondoka ubinafsi.
Wanataka wachukue kila kitu: dhahabu,almasi.
In fact,almasi hatuisikii kabisa.
Inanikumbusha zamani nilipokuwa shule ya msingi boarding school.
Nikaenda nyumbani weekend nikarudi na keki.
Nimekaa dormitory nakula keki na rafiki yangu yupo pembeni nimesahau kumkaribisha.
Yule rafiki yangu akaniuliza,"Hiyo keki unayokula,ni tamu?"
Nasikitika kuhusu ubinafsi katika nchi hii.
Ubinafsi,tatizo la nchi na tatizo la nchi nyingi pia.
Kinachohitajika ni tuwe na Chama cha siasa ambacho kitajengwa katika msingi wa kuondoka ubinafsi.