Tatizo la Humphrey Polepole ni kuamini alikuwa " the chosen one" na sasa ameathirika kisaikolojia

Tatizo la Humphrey Polepole ni kuamini alikuwa " the chosen one" na sasa ameathirika kisaikolojia

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
'Mwanangu usiwe na matarijio makubwa utakayoshindwa kuyatimiza na kuumuza moyo wako', ni nukuu ya maneno kutoka kwa wazazi wangu wakinisihi juu ya jambo. Ingali kauli hiyo ilitolea zamani sana lakini bado naikumbuka mpaka kesho I we usingizin au penginepo. Kutokana na usia huo naweza kusema Mimi ni mmoja wa watu wenye furaha na amani sana.

Kabla sijaenda kwenye mada kuu, tutafakari kwa ufupi sana uzito wa kauli hiyo na kinachoendelea mahakamani katika kesi ya Mbowe kupitia kwa shahidi Luten Urio. Toka shahidi huyu ameanza kutoa ushahidi kumeibuka kupinga mitandaoni. Kwa nini? Shahidi urio ndio anatufumbua macho kwamba CHADEMA walitaka kutwaa madaraka kwa nguvu yoyote hata wakishindwa. Tukirejelea kwenye nukuu, CHADEMA walikuwa na matarajio makubwa sasa hawawezi kuyatimiza sasa wanaumizwa mioyo.

Bwana Polepole ni mtu mwenye bahati , hilo sikatai lakini kujiona alikuwa "the chosen one" hapo ndipo penye ukakasi. Polepole aliibuliwa mtaani akiwa ni mwanaharakati tu na kuwa katibu mwenezi wa CCM taifa. Nafasi ambayo ilimfanya akae na wakubwa wa nchi, nafasi ambayo ilitambua uwepo wake hata katikati ya umati, nafasi ambayo ilitosha kukaa meza kuu ya sherehe au shughuli yoyote. Sasa yote hayo hana akiyakumbuka anaumia na kuvurugwa.

Siasa si shilingi ambayo ina pande mbili ila karata ambayo upande mmoja hautumiki. Mkiwa mnacheza karata ukawa mbele ya mwenye karata nzuri ya ushindi na anapotoa tabasamu wewe unabaki kuumia na kunyong'onyea na ndicho kinachomtokea polepole.

Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.

Tatizo la Polepole ni la kisaikolojia ,kafika sehemu ni kama anaongea mwenyewe. Apewe tiba haraka apone
 
Ana ishi kwenye nadharia siasa sio siku zote 1+1=2
 
Eti ushahidi wa urio unaonyesha chadema walitaka kutwaa madaraka kwa njia yyt??? Rubbish takataka yaani chairman apange mipango yote hiyo bila kumshirikisha lissu mgombea uraisi? Yaan laki nane ndo ifadhili ugaidi rubbish
Wewe ni mke wa Lissu kiasi kwamba unajua Lissu hakushirikishwa?
 
Sabaya alikuwa anamletea warembo wa kiarusha Kila wiki, na anakula mgao wa Hela zinazoporwa kwa wafanyabiashara, Sasa hata Hela ya kuhonga hana
 
Kwa maana hiyo unataka kusema Polepole anawaonea wivu wanaokula kwa urefu wa kamb

Kwa maana hiyo unataka kusema Polepole anawaonea wivu wanaokula kwa urefu wa kamba zao?
Kwenye kampeni za Urais alikula sana Hela za chama kwa kutengeneza bajeti feki ya Idara ya uenezi, Morogoro alikula Hela za wagombea akiwaahidi kusaidia wapite, fisadi mkubwa, achilia mbali rushwa ya ngono
 
Wa kwanza atakuwa wa mwisho vilevile wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza.

Usiku mmoja kwenye siasa ni mrefu sana linaweza kitokea lolote akawa "mkubwa tena" na linaweza kutokea lolote akawa "mdogo" zaidi. Tusiongee sana
 
Polepole Kazi unayo Zitaanzishwa Thread humu zenye jina lako mpaka JF ijae jina lako
 
Polepole tunaemjua hajawahi kubadilika! Kwa uzwazwa wako unadhani Polepole kashapotea! Kwanza bado ni Mbunge wewe umemfahamu sisi tumemfahamu hata jina la Samia hatulijui! Usifikiri Polepole anaishi kama wewe juha mpiga mapambio! Hata ubunge ukiisha Polepole atakuwepo vizuri tu!
 
Kwa hiyo polepole hatakiwi kuona kosa na kulisema kwa kuwa aliamini nyeye yuko juu kuliko wngine?
Kubalini mmekosea kabla ya kuona ukosoaji wa polepole, hiyo kauli ya kula nabkujipimia haikubaliki,
Hapo kiongozi alitereza na ni vema aitolee tamko la kifuta au alimaanisha niniI.
Na nyie manotaka kujipimia komeni na mlegee
 
Hoja gani? That guy is an imbecile

Kupinga kitendo cha rais kuwaambia mawaziri wale rushwa ila wasile sana
Polepole kafanya jambo la kishujaa sana
Kumwambia ukweli huyo mfalme juha wenu
Msije mkamfanya kama subwoofer aliyesema ukweli kwamba nchi itauzwa kwa madeni manake zanzibar wameshaanza kuuza ardhi ya jamhuri ya muungano (visiwa) kwa wageni
 
Back
Top Bottom