Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ilo swala lilisha tolewa ufafanuzi mara nyingi huku, ulisikiliza hotuba yote?Kupinga kitendo cha rais kuwaambia mawaziri wale rushwa ila wasile sana
Polepole kafanya jambo la kishujaa sana
Kumwambia ukweli huyo mfalme juha wenu
Msije mkamfanya kama subwoofer aliyesema ukweli kwamba nchi itauzwa kwa madeni manake zanzibar wameshaanza kuuza ardhi ya jamhuri ya muungano (visiwa) kwa wageni
Mwendazake alikuwa sahihi kwa asilimia 100? Mbna huyo mwinyimpeku hakuwahi kukosoa na ikibidi alitetea hadharani .Mnataka watu wasikosoe hata km viongozi wanakosea? Acheni ubnafisi hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani
Kwani wakati wao walipokosolewa walikuwa wanakubali?Mnataka watu wasikosoe hata km viongozi wanakosea? Acheni ubnafisi hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani
CHAWA yatima🤗🤗🤗
It is not always one to one function. Numekukubali we ni mathematicianMnataka watu wasikosoe hata km viongozi wanakosea? Acheni ubnafisi hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani
Ni mbunge wa Jimbo gani?Polepole tunaemjua hajawahi kubadilika! Kwa uzwazwa wako unadhani Polepole kashapotea! Kwanza bado ni Mbunge wewe umemfahamu sisi tumemfahamu hata jina la Samia hatulijui! Usifikiri Polepole anaishi kama wewe juha mpiga mapambio! Hata ubunge ukiisha Polepole atakuwepo vizuri tu!
Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.'Mwanangu usiwe na matarijio makubwa utakayoshindwa kuyatimiza na kuumuza moyo wako', ni nukuu ya maneno kutoka kwa wazazi wangu wakinisihi juu ya jambo. Ingali kauli hiyo ilitolea zamani sana lakini bado naikumbuka mpaka kesho I we usingizin au penginepo. Kutokana na usia huo naweza kusema Mimi ni mmoja wa watu wenye furaha na amani sana.
Kabla sijaenda kwenye mada kuu, tutafakari kwa ufupi sana uzito wa kauli hiyo na kinachoendelea mahakamani katika kesi ya Mbowe kupitia kwa shahidi Luten Urio. Toka shahidi huyu ameanza kutoa ushahidi kumeibuka kupinga mitandaoni. Kwa nini? Shahidi urio ndio anatufumbua macho kwamba CHADEMA walitaka kutwaa madaraka kwa nguvu yoyote hata wakishindwa. Tukirejelea kwenye nukuu, CHADEMA walikuwa na matarajio makubwa sasa hawawezi kuyatimiza sasa wanaumizwa mioyo.
Bwana Polepole ni mtu mwenye bahati , hilo sikatai lakini kujiona alikuwa "the chosen one" hapo ndipo penye ukakasi. Polepole aliibuliwa mtaani akiwa ni mwanaharakati tu na kuwa katibu mwenezi wa CCM taifa. Nafasi ambayo ilimfanya akae na wakubwa wa nchi, nafasi ambayo ilitambua uwepo wake hata katikati ya umati, nafasi ambayo ilitosha kukaa meza kuu ya sherehe au shughuli yoyote. Sasa yote hayo hana akiyakumbuka anaumia na kuvurugwa.
Siasa si shilingi ambayo ina pande mbili ila karata ambayo upande mmoja hautumiki. Mkiwa mnacheza karata ukawa mbele ya mwenye karata nzuri ya ushindi na anapotoa tabasamu wewe unabaki kuumia na kunyong'onyea na ndicho kinachomtokea polepole.
Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.
Tatizo la Polepole ni la kisaikolojia ,kafika sehemu ni kama anaongea mwenyewe. Apewe tiba haraka apone
Polepole mwaka 2014'Mwanangu usiwe na matarijio makubwa utakayoshindwa kuyatimiza na kuumuza moyo wako', ni nukuu ya maneno kutoka kwa wazazi wangu wakinisihi juu ya jambo. Ingali kauli hiyo ilitolea zamani sana lakini bado naikumbuka mpaka kesho I we usingizin au penginepo. Kutokana na usia huo naweza kusema Mimi ni mmoja wa watu wenye furaha na amani sana.
Kabla sijaenda kwenye mada kuu, tutafakari kwa ufupi sana uzito wa kauli hiyo na kinachoendelea mahakamani katika kesi ya Mbowe kupitia kwa shahidi Luten Urio. Toka shahidi huyu ameanza kutoa ushahidi kumeibuka kupinga mitandaoni. Kwa nini? Shahidi urio ndio anatufumbua macho kwamba CHADEMA walitaka kutwaa madaraka kwa nguvu yoyote hata wakishindwa. Tukirejelea kwenye nukuu, CHADEMA walikuwa na matarajio makubwa sasa hawawezi kuyatimiza sasa wanaumizwa mioyo.
Bwana Polepole ni mtu mwenye bahati , hilo sikatai lakini kujiona alikuwa "the chosen one" hapo ndipo penye ukakasi. Polepole aliibuliwa mtaani akiwa ni mwanaharakati tu na kuwa katibu mwenezi wa CCM taifa. Nafasi ambayo ilimfanya akae na wakubwa wa nchi, nafasi ambayo ilitambua uwepo wake hata katikati ya umati, nafasi ambayo ilitosha kukaa meza kuu ya sherehe au shughuli yoyote. Sasa yote hayo hana akiyakumbuka anaumia na kuvurugwa.
Siasa si shilingi ambayo ina pande mbili ila karata ambayo upande mmoja hautumiki. Mkiwa mnacheza karata ukawa mbele ya mwenye karata nzuri ya ushindi na anapotoa tabasamu wewe unabaki kuumia na kunyong'onyea na ndicho kinachomtokea polepole.
Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.
Tatizo la Polepole ni la kisaikolojia ,kafika sehemu ni kama anaongea mwenyewe. Apewe tiba haraka apone
Ndo alipoharibu Uzi wake hapo!Eti ushahidi wa urio unaonyesha chadema walitaka kutwaa madaraka kwa njia yyt??? Rubbish takataka yaani chairman apange mipango yote hiyo bila kumshirikisha lissu mgombea uraisi? Yaan laki nane ndo ifadhili ugaidi rubbish
Umeanza vzr,ila umeharibu ulipoingiza habari za cdm na mbowe hapo kati![emoji706]'Mwanangu usiwe na matarijio makubwa utakayoshindwa kuyatimiza na kuumuza moyo wako', ni nukuu ya maneno kutoka kwa wazazi wangu wakinisihi juu ya jambo. Ingali kauli hiyo ilitolea zamani sana lakini bado naikumbuka mpaka kesho I we usingizin au penginepo. Kutokana na usia huo naweza kusema Mimi ni mmoja wa watu wenye furaha na amani sana.
Kabla sijaenda kwenye mada kuu, tutafakari kwa ufupi sana uzito wa kauli hiyo na kinachoendelea mahakamani katika kesi ya Mbowe kupitia kwa shahidi Luten Urio. Toka shahidi huyu ameanza kutoa ushahidi kumeibuka kupinga mitandaoni. Kwa nini? Shahidi urio ndio anatufumbua macho kwamba CHADEMA walitaka kutwaa madaraka kwa nguvu yoyote hata wakishindwa. Tukirejelea kwenye nukuu, CHADEMA walikuwa na matarajio makubwa sasa hawawezi kuyatimiza sasa wanaumizwa mioyo.
Bwana Polepole ni mtu mwenye bahati , hilo sikatai lakini kujiona alikuwa "the chosen one" hapo ndipo penye ukakasi. Polepole aliibuliwa mtaani akiwa ni mwanaharakati tu na kuwa katibu mwenezi wa CCM taifa. Nafasi ambayo ilimfanya akae na wakubwa wa nchi, nafasi ambayo ilitambua uwepo wake hata katikati ya umati, nafasi ambayo ilitosha kukaa meza kuu ya sherehe au shughuli yoyote. Sasa yote hayo hana akiyakumbuka anaumia na kuvurugwa.
Siasa si shilingi ambayo ina pande mbili ila karata ambayo upande mmoja hautumiki. Mkiwa mnacheza karata ukawa mbele ya mwenye karata nzuri ya ushindi na anapotoa tabasamu wewe unabaki kuumia na kunyong'onyea na ndicho kinachomtokea polepole.
Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.
Tatizo la Polepole ni la kisaikolojia ,kafika sehemu ni kama anaongea mwenyewe. Apewe tiba haraka apone