Tatizo la Humphrey Polepole ni kuamini alikuwa " the chosen one" na sasa ameathirika kisaikolojia

Naona bora mjibu yale Polepole anayoongea na msihangaike na Polepole binafsi, au hisia zenu zinawatuma muamini kitu gani kumhusu Polepole, huko ni kujidanganya.

Polepole ana haki ya kuzungumza au kuuliza.
 
Mbona ilo swala lilisha tolewa ufafanuzi mara nyingi huku, ulisikiliza hotuba yote?
Polepole alipiga kelele kwenye katiba mpya alivyo pewa madarKa akasema katiba haina umuhimu. Ni wale wanasiasa wa fursa na matukio, ana tafuta political mileage
 
Mnataka watu wasikosoe hata km viongozi wanakosea? Acheni ubnafisi hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani
Mwendazake alikuwa sahihi kwa asilimia 100? Mbna huyo mwinyimpeku hakuwahi kukosoa na ikibidi alitetea hadharani .
 
Umeruka ruka bila kueleweka rasmi
Nini point yako....

Vema ukatumbia ni kwenye hoja ipi na point ipi ambapo unamuona Humphrey Polepole kwamba amechanganyikiwa?

Waeleze wasomaji wako rasmi kama ni wapi na lini Polepole amesema uongo?

Kitendo cha kutamka kwamba aliokotwa tayari ni kashfa binafsi.
Inaonyesha wewe ni mmoja wa wale mnaokereka na UKWELI wa PolePole .

Mpinge mtu kwa hoja na sio Personal attack.

Kule kwa Urio pia umerukia hoja na ukaruka na kuiacha hewani.

Kama huwezi wakilisha hoja yenye mashiko.
Na watu wakasoma na kukuelewa ni vema usipoteze muda wako kuandika Personal attacks humu JF.
 
"Mwanangu usiwe na matarijio makubwa utakayoshindwa kuyatimiza na kuumuza moyo wako"
Nmekuelewa sana hapo
 
Ni mbunge wa Jimbo gani?

Kama Hana Jimbo basi uhakika wa kukaa bungeni hatakuwa nao 2025
 
Polepole anaamini kwa kazi aliyofanya CCM hakustahili kuachwa bila uwepo wake kufikiriwa. Ndipo hapo kauli ya bahati kwa Polepole inakuja lakini bahati ina ukomo, unaweza kubahatisha Leo kesho unashindwa.
 
Polepole mwaka 2014
Your browser is not able to display this video.
 
Eti ushahidi wa urio unaonyesha chadema walitaka kutwaa madaraka kwa njia yyt??? Rubbish takataka yaani chairman apange mipango yote hiyo bila kumshirikisha lissu mgombea uraisi? Yaan laki nane ndo ifadhili ugaidi rubbish
Ndo alipoharibu Uzi wake hapo!
Non sense
 
Umeanza vzr,ila umeharibu ulipoingiza habari za cdm na mbowe hapo kati![emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…