Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Wakuu hivi ni mimi ambae nakumbana na hili tatizo la internet kwa hawa airtel!?
Maana natumia like 10 minutes mtandao unakata hadi nitoe modem then niweke tena. Na upande wa simu hivyohivyo hadi nizime data then niweke on tena.
Kama kuna tatizo mbona hawatupi taarifa ili tusipoteze fedha zetu kuunga bundle!? Airtel kuweni serious bhana.
Maana natumia like 10 minutes mtandao unakata hadi nitoe modem then niweke tena. Na upande wa simu hivyohivyo hadi nizime data then niweke on tena.
Kama kuna tatizo mbona hawatupi taarifa ili tusipoteze fedha zetu kuunga bundle!? Airtel kuweni serious bhana.