Tatizo la Intaneti mtandao wa Airtel

Tatizo la Intaneti mtandao wa Airtel

Mtandao ya Sim yote ni majanga

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Airtel naona wamerudia tena kuiba ama kukata bando.Wanahakikisha bando unalonunua la siku 3,liishe ndani ya siku moja tu,hata utumie kidogo kabisa ama usitumie kabisa.Na wakijua mteja wao wa mara kwa mara,haka kamchezo wanakachomekea kila baada ya mda fulani.WANABOA SANA,HILI KAMPUNI HAKIKA NI JIPU hasa kwenye bando za internet NA UFISADI KWA KWENDA MBELE.Kichefuchefu sana hawa jamaa mpaka naona vema nao kuwapimzika...wizi mtupu tena wa bila haya kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wnapokezana vijiti mkuu

Ova
Airtel naona wamerudia tena kuiba ama kukata bando.Wanahakikisha bando unalonunua la siku 3,liishe ndani ya siku moja tu,hata utumie kidogo kabisa ama usitumie kabisa.Na wakijua mteja wao wa mara kwa mara,haka kamchezo wanakachomekea kila baada ya mda fulani.WANABOA SANA,HILI KAMPUNI HAKIKA NI JIPU hasa kwenye bando za internet NA UFISADI KWA KWENDA MBELE.Kichefuchefu sana hawa jamaa mpaka naona vema nao kuwapimzika...wizi mtupu tena wa bila haya kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ja nimemtukana customer care, nmeweka vocha ya 2k nijiunge bando la internet, nmejiunga hela wamekata internet hamna yaan kama haijaungwa, namwelekeza anajib hujajiunga, namwambia mi sio mtoto nidanganye ili iweje, analazimisha nkamwambia airtel nyie ni mi. K**ndu nkakata

MAN UP! Una utoto sana, hakuna sehem hakuna changamoto, hio 2K ndo inakufanya utukane kwa tatizo la sku moja? what about other days?
 
Wakuu hivi ni mimi ambae nakumbana na hili tatizo la internet kwa hawa airtel!?

Maana natumia like 10 minutes mtandao unakata hadi nitoe modem then niweke tena. Na upande wa simu hivyohivyo hadi nizime data then niweke on tena.

Kama kuna tatizo mbona hawatupi taarifa ili tusipoteze fedha zetu kuunga bundle!? Airtel kuweni serious bhana.
Tatizo hilo lipo Sana lakini wao wamajali pesa tu na kutoa huduma mbovu
 
Back
Top Bottom