Airtel naona wamerudia tena kuiba ama kukata bando.Wanahakikisha bando unalonunua la siku 3,liishe ndani ya siku moja tu,hata utumie kidogo kabisa ama usitumie kabisa.Na wakijua mteja wao wa mara kwa mara,haka kamchezo wanakachomekea kila baada ya mda fulani.WANABOA SANA,HILI KAMPUNI HAKIKA NI JIPU hasa kwenye bando za internet NA UFISADI KWA KWENDA MBELE.Kichefuchefu sana hawa jamaa mpaka naona vema nao kuwapimzika...wizi mtupu tena wa bila haya kabisa.
Airtel naona wamerudia tena kuiba ama kukata bando.Wanahakikisha bando unalonunua la siku 3,liishe ndani ya siku moja tu,hata utumie kidogo kabisa ama usitumie kabisa.Na wakijua mteja wao wa mara kwa mara,haka kamchezo wanakachomekea kila baada ya mda fulani.WANABOA SANA,HILI KAMPUNI HAKIKA NI JIPU hasa kwenye bando za internet NA UFISADI KWA KWENDA MBELE.Kichefuchefu sana hawa jamaa mpaka naona vema nao kuwapimzika...wizi mtupu tena wa bila haya kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ja nimemtukana customer care, nmeweka vocha ya 2k nijiunge bando la internet, nmejiunga hela wamekata internet hamna yaan kama haijaungwa, namwelekeza anajib hujajiunga, namwambia mi sio mtoto nidanganye ili iweje, analazimisha nkamwambia airtel nyie ni mi. K**ndu nkakata
Tatizo hilo lipo Sana lakini wao wamajali pesa tu na kutoa huduma mbovuWakuu hivi ni mimi ambae nakumbana na hili tatizo la internet kwa hawa airtel!?
Maana natumia like 10 minutes mtandao unakata hadi nitoe modem then niweke tena. Na upande wa simu hivyohivyo hadi nizime data then niweke on tena.
Kama kuna tatizo mbona hawatupi taarifa ili tusipoteze fedha zetu kuunga bundle!? Airtel kuweni serious bhana.
Wewe kama mimi tu, matatizo ninayokutana nayo hata mitandao mingine yapoMbona mimi sikutani na hilo tatizo