Tatizo la jicho!

Tatizo la jicho!

Eshacky

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
965
Reaction score
252
Ndugu wana JF, nitumain langu mu wazima wa afya, mimi nina tatizo la jicho la kulia,ambapo huwa ngoz ya jicho hucheza cheza kwa ndan, yaan km mishipa huvuta vuta nahisi km jino linafumba fumba, ila nikimulza m2 kama anaona jicho lina blink. Jibu n hapana, Ni kama mwez linafanya hivyo pasipo maumivu, ila kuna wakat linawasha.
Ni tumaini langu kupata ushaur wa kidaktar kutoka kwenu wajuzi wa mambo ya kiafya.
 
i ma having same problem... wewe unasema kama mwezi mi nimeshazoe nafikir it almost years now linakuwa linacheza occasionaly sio kila siku... inaweza ikatokea mara mbili au tatu kwa mwezi.
 
i ma having same problem... wewe unasema kama mwezi mi nimeshazoe nafikir it almost years now linakuwa linacheza occasionaly sio kila siku... inaweza ikatokea mara mbili au tatu kwa mwezi.
mi ni kila cku, mpk najishtukia, alafu kna kipind linawasha knoma, so yawezekana c ugonjwa?
 
we unazungumzia jicho lipi kwanza maana unanichanganya
 
Back
Top Bottom