daniel lufumbula
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 106
- 176
Hii ni mara kwa mara napata hili tatizo nina muda mrefu sana zaidi ya miaka mitatu kajembe kalishapotea na ndani yake huwaga napata maumivu sana. Sasa saiv imefika sehemu nguvu za kiume zinanipungua hata kwa wife. Eti nifanye nini jamani? na tiba yake ni nini?
Naomba ushauri na ufafanuzi zaidi.
Naomba ushauri na ufafanuzi zaidi.