Tatizo la kuahirisha mambo

Tatizo la kuahirisha mambo

Bro nahisi kuna vitu vidogo vidogo sana vinavyoshika haramu in your plans,viache hivyo you will thank me
Yap na mimi nimeliona hilo, unaweza amka asubuhi na mipango lukuki, ila kitu kidogo tu kika trigger plan zote. Distractions inaweza kuwa kitu kidogo kama kupokea simu ya mtu, au notifications kwenye simu. Hasa simu nataka niwe naiweka airplane mode.
 
Habari wanaJF,

Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.

Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.

Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu naomba msaada.
Hilo ni tatizo la kiroho. Piga maombi sana, pamoja na kufunga, hilo tatizo litakwisha.
 
Habari wanaJF,

Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.

Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.

Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu naomba msaada.
Tatizo sio kuahirisha ila huna hela ya kuajiri mtu wa kuzifanya hizo kazi. Tafuta pesa ndugu
 
Habari wanaJF,

Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.

Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.

Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu naomba msaada.
Mimi nimeshindikana!!! KITU kimoja kinacho nisaidia nikifanya kazi Kwa HARAKA INAKUWA PERFECT.
 
Kwamba umetambua tatizo na kuomba msaada, ni step namba moja ya ushindi! Weka malengo, binafsi nadhani deadline itakusaidia, kusudi hata ikipita, ujisikie una deni! Pia ungekuwa na mtu wa kukushtua inaweza saidia!

Ila jua hauko peke yako. Hata mimi ninalo hilo tatizo, sema mimi deadline ikikaribia, nakuwa na presha kali ambayo hunipa nguvu ya kufanya kazi kama mara mbili ya kawaida, na mara nyingi nimeweza ku-beat deadline!

Kila la heri.
 
Kuwa na malengo ambayo hayana deadline, unachofanya hapa haufatishi deadline Ila unafatisha RATIBA.

Mfano ulipanga kufungua duka usiweke deadline ya kufikia hiyo hatua Ila kuwa na ratiba schedule.

Then kuwa na mfumo Wa kudaiwa.

Hata Kama hauna familia mke au mtoto jifanye Una majukumu na unategewa hivyo assume kuna watu wanakusubiri utoe matokeo. Ili Ada zilipwe na chakula kipatikane hii itakuweka on truck.

Apply hizo mbibu mbili kwanza.

Goals without deadline but schedule.

Assume that there's someone who need something great from you like wife, kids, parents, boss and etc

Train ur mind procrastination is dream killer.
Hapo kwenye malengo ni vyema yakawa na deadline, deadline humfanya mtu aone kuwa yuko nyuma ya muda na kumfanya aharakishe mchakato. Ndio Maana shuleni au hata makazini tunapewa deadline ili tufanya kazi within time.

Ila Jambo la msingi ni kuwa na malengo, ila katika hayo malengo ni bora ukayavunja vunja katika malengo madogo madogo yatakayo timizwa kila siku ili kutumiza lengo kubwa.

Ndipo sasa kwenye hayo malengo madogo madogo tengeneza ratiba ya kila siku kutimiza huku ukiwa na “to do list” ya kila siku.

Katika kumalisha hilo kuna kanuni inaitwa “two minutes rule “ ambayo inakutaka kufanya Jambo unalo taka kufanya ndani ya dakika 2 mara tu unapo fikiria kufanya Jambo hilo (mf. Ukitaka kupiga simu kwa mteja, fanya hivyo ndani ya dakika 2 tangu ulipo kumbuka hilo wazo na ili usighairishe) hii imesaidia sana.

Jambo lingine ni kuwa na accountability partner , huyu ni mtu ambaye unamchagua ili kuithibiti hali yako ya kughairisha mambo, hivyo mtu huyu utakuwa una mpa mipango yako unayo tamani kuitimiza and Huyo mtu atakuwa anakusimamia (kuku kumbusha).

Naamini hii itasaidia Mkuu

Welcome to the Nation Of The People (Limbu Nation Builders Company Limited) kwaajili ya shughuli zote za ujenzi.
 
Habari wanaJF,

Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.

Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.

Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu nao
Una mental /neurodevelopmental disorder inayokusumbua, either ni ADHD au ni Depression/anxiety/ocd et. ukitibu hizi conditios utakua sawa. Yoyote anaesema we ni mvivu bora anyamaze akae kimya maana utamu wa ngoma hauujui mpaka uingie ucheze
 
Una mental /neurodevelopmental disorder inayokusumbua, either ni ADHD au ni Depression/anxiety/ocd et. ukitibu hizi conditios utakua sawa. Yoyote anaesema we ni mvivu bora anyamaze akae kimya maana utamu wa ngoma hauujui mpaka uingie ucheze
I believe inaweza kuwa rooted na hizo mambo ila kwangu sio chronic kivlie. Anyways nyajaribu kuzingatia peave of mind and mental clarity na routines kama wengine walivyo sema.
 
Kwamba umetambua tatizo na kuomba msaada, ni step namba moja ya ushindi! Weka malengo, binafsi nadhani deadline itakusaidia, kusudi hata ikipita, ujisikie una deni! Pia ungekuwa na mtu wa kukushtua inaweza saidia!

Ila jua hauko peke yako. Hata mimi ninalo hilo tatizo, sema mimi deadline ikikaribia, nakuwa na presha kali ambayo hunipa nguvu ya kufanya kazi kama mara mbili ya kawaida, na mara nyingi nimeweza ku-beat deadline!

Kila la heri.
Asante nitalifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom