Kuna sababu nyingi kwa tatizo hilo kwa watoto au umri mdogo miaka 4-10. Inwezekana ni tatizo la kurithi (atrophy) umbile pungufu, kunywa maji mengi karibu na wakati wa kulala,hofu za kushtushawa mchana na kuota usiku, magonjwa kama uti, kisukari, kushindwa kufanya kazi kwa kibofu cha mkojo, ajali, tatizo la figo. Kwa watu wazima, pombe nyingi kupita kiasi, ajali, magonjwa, prostate cancer, madawa ya high blood pressure, kisukari, kujifungua, msongo wa mawazo, ajali, magonjwa nk.
Punguza pombe au acha, fuata mpango wa uzazi salama/hudhuria kliniki, kupunguzwa kunywa vimiminika wakati wa jioni kwa watoto, kupima afya yako.watoto walale mahali salama na wapatiwe uangalizi mzuri. Kula vyakula vinavyorutubisha mwili, matunda , mboga nk. Ttiba ni muhimu mwone daktari kwa ushauri.