CROSSFIRE
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 496
- 1,462
Mugabe dawa ya huyu dogo ni rahisi mnoRejea mada tajwa hapo juu.
Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10 sasa lakini bado anakojoa kitandani, nafikiria kwa umri huu ni mkubwa mtu kukojoa kitandani.
Tafadhali wakuu naomba mnisaidie nini chakufanya, kuna tiba ya tatizo hilo?
Issue yake ni unconscious activity ukitumia nguvu utafeli.
Mwambie alale kitandani kwake hasa usiku mfano saa nne au tano baada ya hapo mwambie ajikojolee kama kawaida yake akiwa yupo macho, msisitize ajikojolee kwa sababu ile adha ya kujilowanisha, joto la mkojo na aibu ndio vitakuwa vinamkurupusha awapo katika usingizi kila akitaka kujikojolea kwa kuwa taarifa hizo zitakuwa tayari saved katika medulla oblangata Kumbuka hii ni unconscious activity controlled by medulla.