Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Rejea mada tajwa hapo juu.

Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10 sasa lakini bado anakojoa kitandani, nafikiria kwa umri huu ni mkubwa mtu kukojoa kitandani.

Tafadhali wakuu naomba mnisaidie nini chakufanya, kuna tiba ya tatizo hilo?
Mugabe dawa ya huyu dogo ni rahisi mno

Issue yake ni unconscious activity ukitumia nguvu utafeli.

Mwambie alale kitandani kwake hasa usiku mfano saa nne au tano baada ya hapo mwambie ajikojolee kama kawaida yake akiwa yupo macho, msisitize ajikojolee kwa sababu ile adha ya kujilowanisha, joto la mkojo na aibu ndio vitakuwa vinamkurupusha awapo katika usingizi kila akitaka kujikojolea kwa kuwa taarifa hizo zitakuwa tayari saved katika medulla oblangata Kumbuka hii ni unconscious activity controlled by medulla.
 
Hajawahi kuwaona vikojozi, kwenye familia yetu (hadi watoto wa bro) mtoto akishaacha kunyonya na kukojoa kitandani kunaisha inabaki ile ya mara moja moja. Ila kuna mtoto wa dada yangu hadi ana miaka 12 bado analimwaga
Mimi Kaka yangu niliyemfwata ameacha kukojoa akiwa form 4.

Wengine wote mara baada ya kuacha kunyonya tuliacha kukojoa.

Yeye sasa alikuwa kikojozi.

Mzee alimpiga sana lakini wapi..tena alikuwa anaumwaga kitanda chote hadi mnamuonea huruma.

Ikawa kila siku lazima afue,aoge,aanike godoro.

Kuna dawa ilikuja kumsaidia,now yaani ni msafi huyoo acha.
 
Hawa wanaobeza utafikiri wao ndo walezi wazuri alafu matoto yao yanavuta bangi pumbav.....toa suruhisho sio maneno ya kwenye kanga....umejuaje kama hamchapi kama ni ugonjwa je? au matatizo ya akili???.... Africans sisi ni kuhukumu na kulaumu ndo tunachoweza...
 
Hawa wanaobeza utafikiri wao ndo walezi wazuri alafu matoto yao yanavuta bangi pumbav.....toa suruhisho sio maneno ya kwenye kanga....umejuaje kama hamchapi kama ni ugonjwa je? au matatizo ya akili???.... Africans sisi ni kuhukumu na kulaumu ndo tunachoweza...
Wengi wanaobeza bado hawana familia
Na kama wanazo basi wana watoto wadogo ambao hata miaka 5 hawajafika.
Hii hali bado hawajaiexperience kwenye familia zao.
 
Rejea mada tajwa hapo juu.

Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10 sasa lakini bado anakojoa kitandani, nafikiria kwa umri huu ni mkubwa mtu kukojoa kitandani.

Tafadhali wakuu naomba mnisaidie nini chakufanya, kuna tiba ya tatizo hilo?
Hakikisha anakojoa kabla ya kulala. Muamshe usiku akakojoe mara mbili au mara tatu. Hakuna dawa nyingine. Usipofanya hivyo ataendelea kukojoa hadi mtu mzima. Usiwasikilize wanaosema unamlea vibaya.
 
Wana JF msiwe mnaandika ili kujifurahisha eti ni uzembe mzazi/wazazi hell no! Kukojoa kwa mtoto haina uhusiano na malezi wala sio makusudi ya mtoto ni out of control situation ambayo inasababishwa na either mtoto kuwa na usingizi mzito sana, kibofu kidogo kinachoshindwa kuhimili kuzuia mkojo, unywaji wa vimiminika vingi kabla ya kulala na kushindwa kuamka. Na matatizo mengine ya kiafya.

Kwa baadhi ya watoto hali hii huisha baada ya kufikisha miaka sita na wengine huendelea hadi miaka 15.

Namna ya kuzuia zipo nyingi ningemshauri mleta mada aingie kwenye google atazikuta nyingi ila katika hizo njia hakuna kumchapa mtoto, Kumkemea, Kumfokea, kumdhalilisha kwa wenzake kama comments nyingi za "wataalam" zinavyoashiria hapa.

Kila la kheri katika siku yetu wakulima wenzangu.
 
Wana JF msiwe mnaandika ili kujifurahisha eti ni uzembe wa mzazi/wazazi hell no! Kukojoa kwa mtoto haina uhusiano na malezi wala sio makusudi ya mtoto ni out of control situation ambayo inasababishwa na either mtoto kuwa na usingizi mzito sana, kibofu kidogo kinachoshindwa kuhimili kuzuia mkojo, unywaji wa vimiminika vingi kabla ya kulala na kushindwa kuamka. Na matatizo mengine ya kiafya.

Kwa baadhi ya watoto hali hii huisha baada ya kufikisha miaka sita na wengine huendelea hadi miaka 15.

Namna ya kuzuia zipo nyingi ningemshauri mleta mada aingie kwenye google atazikuta nyingi ila katika hizo njia hakuna kumchapa mtoto, Kumkemea, Kumfokea, kumdhalilisha kwa wenzake kama comments nyingi za "wataalam" zinavyoashiria hapa.

Kila la kheri katika siku yetu wakulima wenzangu.
 
1.kabla ya kulala aende kukojoa
2.ikifika jioni na kuendelea asinywe maji mengi au vitu vya maji maji mengi
3. ucku muamshe akakojoe
4. nenda hospital ukapewe dawa au kama unaweza kupata dawa inaitwa IMIPRAMINE kanunue atumie 25mg kila cku ucku kwa muda wa mwezi 1 kwanza
Ushauri murua kabisa na akikosa dawa hiyo amtafutie nyingine inaitwa Amitiplline
 
Rejea mada tajwa hapo juu.

Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10 sasa lakini bado anakojoa kitandani, nafikiria kwa umri huu ni mkubwa mtu kukojoa kitandani.

Tafadhali wakuu naomba mnisaidie nini chakufanya, kuna tiba ya tatizo hilo?
Akifikisha birth-urinating-day ya miaka 11 nialike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rejea mada tajwa hapo juu.

Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10 sasa lakini bado anakojoa kitandani, nafikiria kwa umri huu ni mkubwa mtu kukojoa kitandani.

Tafadhali wakuu naomba mnisaidie nini chakufanya, kuna tiba ya tatizo hilo?
Mfuatilie kwa karibu. Asinywe maji karibu na muda wa kulala, muamshe, saa 1 tangu baada ya kulala, na kila baada ya masaa 3 mpaka kuche. Utampa mazoea ya yeye mwenyewe kujiamsha.
 
Mimi nimekoja kila siku kitandani hadi nikiwa f3.

Nimekojoa Mara moja moja hadi nikiwa f6.

Nilikojoa Mara 2 nikiwa chuo kikuu.

Haijarudia tena.

Nawashukuru wanafunzi wenzangu walionivumilia nilipoenda f5 bwenini, alikuwepo mmoja hadi alikuwa anaanika godoro langu watu wakiingia madarasani, namshukuru headmaster shule x, na mwalimu wa nidham kwa kunivumilia sana na kunipa moyo.


Sikutumia dawa yoyote isipokuwa kuzuia kunywa maji ifikapo saa11 jioni, kuoga asubuhi kila Siku, kuamshwa kila Mara kwenda kukojoa na nilikuwa najifanya nasoma hadi saa5 ili nilale nikiwa nimekojao.

Wanafunzi niliokuwa nao bweni X mbarikiwe sana. Neema ya mungu iwashukie na uzuri nyite mmeajiriwa serijalini, endeleeni na moyo huo wa kutunza siri, mlinisitiri sana.

Mlinitia moyo, na hakika mungu awajarie.
Sema tunakuwaga na akili sana aisee tuliokojoa masafa marefu.Mimi nilikoma nilipofika form 1.
Hili tatizo mtu asipojua anaweza sema ni maksudi lakini muhusika unakuwa huna control nalo kabisa hata upewe kipigo cha mbwa koko.
Nina mtoto wa father yetu mkubwa yuko form v saizi lakini bado analimwaga.
Hatar sana.
 
Dawa ya Kumtibu Mtoto kukojowa Kitandani Vifaa vyake upate hivi:

Upate Kwato La N'gombe tiya ndani yake Kaa La Moto kisha yule mgonjwa wa kukojowa Kitandani alinuse lile kwato la N'gombe lilio na Kaa la Moto ndani yake, kisha Avue nguo zake awe uchi Apande juu ya mti kisha juu ya huo mti akojoe mkojo ushuke chini afanye hiyo Dawa kwa Muda wa siku 7 atapona kabisa.

Hakuna dawa Mahospitalini kutibu mtoto kukojowa kitandani
Wee Mzee binti wa miaka 6 anawezaje kufanya zoezi hili?

Hizi Dawa zako balaa.
 
Mawasiliano si ndio hii thread? au tayari unataka kugeuza fursa!

Sema Dawa hapa wanufaike wengi, ingekuwa watu wote kama wewe JF ingepoteza maana na wala isingekuwa na msaada kwa watu.
Kila mtu ana taratibu zake mkuu, so nafanya kile ninachoona ni sawa kwa upande wangu, mtu akiona anageuzwa fursa au anataka kutapeliwa, simply anakaa tu kimya.
 
Back
Top Bottom