Dah shukran kaka mana aibu sana asikwambie mtuIliwahi kunitokea hii hali.
Namchezea wife nataka kupeleka moto tu jamaa anazima ghafla.
Kula matopetope, ukiyapata yale ya pori ndio dili zaidi au tafuta huu mti chini. Siujui kwa jina ila Mundende inasuburi.
Tengeneza unga kwa majani yake tia kwenye chai, uji au maji. Jamaa atanenepa, atakuwa imara.
Hii miti iko sehemu nyingi tu hapa nchini
View attachment 1885960
@mtimkav Mtimkavu689 njooni mtoe msaada wa nguvu za kiumeHabarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu in tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kumdanganya weweSio chakula hiko kwamba ukikosa utakufa, relax
Ananenepa??[emoji848][emoji848][emoji848] huo mti upo wapi[emoji851][emoji851]Iliwahi kunitokea hii hali.
Namchezea wife nataka kupeleka moto tu jamaa anazima ghafla.
Kula matopetope, ukiyapata yale ya pori ndio dili zaidi au tafuta huu mti chini. Siujui kwa jina ila Mundende inasuburi.
Tengeneza unga kwa majani yake tia kwenye chai, uji au maji. Jamaa atanenepa, atakuwa imara.
Hii miti iko sehemu nyingi tu hapa nchini
View attachment 1885960
Eneo mnalokutana live tulivu na pia usiwe na haraka, ukifika tulia vuta pumzi. Ikiwezekana lala kidogo kwanza.Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu in tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu
Dah shukran kaka mana aibu sana asikwambie mtu
Eeenh!Sio chakula hiko kwamba ukikosa utakufa, relax
Pole sana mkuu, nakuelewa.... ila ushauri naweza kukupa ni punguza hofu na mawazo maana lile tendo linahitaji kujiamini, utulivu wa akili na nafsi.We haujui tu Hii hali inavyonipa mawazo