Tommy 911
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 600
- 510
Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ni tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ni tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu