Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Mkuu samahani hebu nijibu kwanza swali langu halafu nitarudi kukupa suluhisho.

Tatizo hilo limekuanza tangu ulipovunja ungo au limeanza ukiwa ndani ya ndoa!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm siyo daktari ila nitakuelekeza dawa moja pengine unaweza kukusaidia, tafuta mti mmoja unaitwa mlonge utachuma majani yake uwe unachemsha na maji. Yakichemka epua kisha uwe unachuja na kunywa kila asubuhi na jioni glasi moja kila siku hata muda wa mwezi mmoja. Mungu akipenda itakusaidia. Mm ni mashahidi wa hiyo dawa kwasababu nilikuwa nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu bila mimba wala mtoto. Na alikuwa mzunguko wake haueleweki lakini baada ya kuelekezwa hiyo dawa akaanza kuitumia mambo yakaenda vizuri. Mpaka sasaiv dawa ilimsaidia Mungu alitujalia akashika ujauzito akajifungua mtoto wa kiume. Mwanetu mpaka sasa ana umri wa miaka miwili na nusu ambaye hana shida yoyote. HATA HIVYO MUNGU NI MKUBWA. kila la kheri
Sijawahi hata mara moja mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm siyo daktari ila nitakuelekeza dawa moja pengine unaweza kukusaidia, tafuta mti mmoja unaitwa mlonge utachuma majani yake uwe unachemsha na maji. Yakichemka epua kisha uwe unachuja na kunywa kila asubuhi na jioni glasi moja kila siku hata muda wa mwezi mmoja. Mungu akipenda itakusaidia. Mm ni mashahidi wa hiyo dawa kwasababu nilikuwa nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu bila mimba wala mtoto. Na alikuwa mzunguko wake haueleweki lakini baada ya kuelekezwa hiyo dawa akaanza kuitumia mambo yakaenda vizuri. Mpaka sasaiv dawa ilimsaidia Mungu alitujalia akashika ujauzito akajifungua mtoto wa kiume. Mwanetu mpaka sasa ana umri wa miaka miwili na nusu ambaye hana shida yoyote. HATA HIVYO MUNGU NI MKUBWA. kila la kheri

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu ntatumia hiyo dawa, Mungu awakuzie vyema mtoto wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Dokta na wasomaji wote;

Nina rafiki yangu wa kike ana tatizo la kutoona siku zake/hedhi kwa zaidi ya miezi 6 sasa.

Historia ya tatizo hili;
1. Aliwahi kwenda mkoa wa joto na baada ya kurudi mkoa wa baridi alikosa hedhi miezi 3
Hii ilijitokeza mara 2.

2. Tatizo hili limejirudia baada ya kuharibika kwa ujauzito Novemba 2019.
Baada ujauzito kuharibika alitokwa na damu karibu siku 6, ndipo siku ya 7 alirudi hospital na wakamsafisha tena.
Kuanzia wakati huo Novemba meishoni 2019 hadi sasa Mei 2020 hajaona siku zake.
Je! Nini linaweza kuwa tatizo?

financial services
Carleen
Miss Natafuta
Nifah
Sky Eclat
Shunie
@shedaya
Jael Sakayo Makiseo @younglood
Wote mnakaribishwa kushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda kuna njia za uzazi anatumia, huwa sometimes zinakata hedhi au zinafanya mzunguko usioeleweka , ila nnachomshauri aende hospital tena akawaambie juu ya hilo.pole yake

Au ameconcieve tena🤷‍♂️, akapime na ujauzito pia.

Doctor Sky Eclat
 
Au walikitoa na kizazi chenyewe kabisa wakati wa kusafishwa.Aende akachunguzye upya kama pia tube zake ziko poa
 
Huenda kuna njia za uzazi anatumia, huwa sometimes zinakata hedhi au zinafanya mzunguko usioeleweka , ila nnachomshauri aende hospital tena akawaambie juu ya hilo.pole yake

Au ameconcieve tena🤷‍♂️, akapime na ujauzito pia.

Doctor Sky Eclat
Ku concieve hapana, pia kutumia uzazi wa mpango pia hatumii sababu ana kiu na mtoto.
 
Pole zimfikie..!
Jitahidi mumpeleke kwenye hospital zinazoshughulika na magonjwa ya wanawake, naamini atapatiwa ufumbuzi na mzunguko utarudi kuwa kama kawaida!!

Pia siyo vyema muda wote huo hazioni siku zake halafu msilitafutie ufumbuzi mapema, Jitahidini muwahi kwenye huduma za afya naamini atapata matibabu, msiendelee kulea tatizo.!
 
Atumie njia zifuatazo 1. Arudi hospitali(hospitali bora) akafanyiwe vipimo 2. Akafanyiwe maombezi
Majibu yatapatikana
 
Back
Top Bottom