Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Habar wakuu, nina shida ya kutoona siku zangu za hedhi mpaka nimeze dawa za kunisaidia kuona karibu mwaka wa 10 sasa nishafanya vipimo vingi nishazunguka mahospitalin ila tatizo haliishi, sina mtoto hata mmoja nina miaka 30 sasa, naomba mwenye kujua dawa ushauri mnisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app

Personally mimi ni mwanamke ila nna tatizo tofauti kidogo mzunguko wangu hufika hadi siku 55 au 41 zikijitahidi sana. Niliambiwa nna hormonal imbalance basically hormone zangu za kiume ni nyingi kuliko za kike-dawa zipo ila tatizo haliishi jumla its an on going process. Nikushauri uende kwa Gyno akupe exact diagnosis. Once again pole sana
 
Mwanamke uliye peke yako na umri huo hilo ni tatizo la kawaida sana. Kuna dawa ambayo wengi hawaijui. Kikwapa cha mwanamume amini usiamini, ni dawa tena inatosha kabisaaa.
Yaani, tafuta mtu wako au kaka yako, chukua shati lake, uwe ukilinusa au kulivaa au kuliweka karibu na pua. Unaweza ukadharau ila, jaribu tu. Kujaribu ni bureeeee hulipi senti moja. Kumbuka umesema hili tatizo unalo siku nyingi na umegharimia mengi. Hebu tumia hii dawa niliyo kuambia.
Hilo shati awe amelivaa sana siyo jipya tu kanunua leo. Liwa kalivaa siku nyingi na ikiwezekana, kabla hajalifua, potea nalo. Usisahau mrejesho hapa hapa
 
Personally mimi ni mwanamke ila nna tatizo tofauti kidogo mzunguko wangu hufika hadi siku 55 au 41 zikijitahidi sana. Niliambiwa nna hormonal imbalance basically hormone zangu za kiume ni nyingi kuliko za kike-dawa zipo ila tatizo haliishi jumla its an on going process. Nikushauri uende kwa Gyno akupe exact diagnosis. Once again pole sana
Ahsante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke uliye peke yako na umri huo hilo ni tatizo la kawaida sana. Kuna dawa ambayo wengi hawaijui. Kikwapa cha mwanamume amini usiamini, ni dawa tena inatosha kabisaaa.
Yaani, tafuta mtu wako au kaka yako, chukua shati lake, uwe ukilinusa au kulivaa au kuliweka karibu na pua. Unaweza ukadharau ila, jaribu tu. Kujaribu ni bureeeee hulipi senti moja. Kumbuka umesema hili tatizo unalo siku nyingi na umegharimia mengi. Hebu tumia hii dawa niliyo kuambia.
Hilo shati awe amelivaa sana siyo jipya tu kanunua leo. Liwa kalivaa siku nyingi na ikiwezekana, kabla hajalifua, potea nalo. Usisahau mrejesho hapa hapa
Kwa jinsi nilivyo na shida mkuu hata ungesema nililambe hicho kikwapa ningelamba, em niambie vzr mtu wangu wa karibu hata mumewangu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua mdalasini usage uwe unga laini kama ngani, chukua asali chungu ama asali ya nyuki wadogo changanya kwenye blender kwenye lita ya asali weka vijiko 3-4 vya mboga. Kunywa kila siku mara 2 asubuhi na mda wa kulala. Tumia hiyo kwa mwezi mzima bila kukosa. Baadae njoo unipe asante yangu hapa jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliwahi kutumia njia za uzazi wa mpango?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hiki ndicho kiini kikubwa. Kuna wanawake ambao hata kama ameshaacha kutumia uzazi wa mpango, zile dawa huchukua muda mrefu kutoka mwilini.

Lakini pia, kama kutopata mtoto kunakupa stress, basi stress huwa inazidisha hiyo hali na kuwa mbaya zaidi.

Lakini nashauri upungue kama wewe ni mnene.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua mdalasini usage uwe unga laini kama ngani, chukua asali chungu ama asali ya nyuki wadogo changanya kwenye blender kwenye lita ya asali weka vijiko 3-4 vya mboga. Kunywa kila siku mara 2 asubuhi na mda wa kulala. Tumia hiyo kwa mwezi mzima bila kukosa. Baadae njoo unipe asante yangu hapa jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asante ila hii tiba labda niirudie ila niliwahi kuitumia sana ndani ya hii miaka 10 ya kuhangaika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hiki ndicho kiini kikubwa. Kuna wanawake ambao hata kama ameshaacha kutumia uzazi wa mpango, zile dawa huchukua muda mrefu kutoka mwilini.

Lakini pia, kama kutopata mtoto kunakupa stress, basi stress huwa inazidisha hiyo hali na kuwa mbaya zaidi.

Lakini nashauri upungue kama wewe ni mnene.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi sijawahi tumia dawa za uzazi wa mpango ningesema ukweli hapa ili nipate ushauri sahihi sijawahi, nimeolewa nikiwa bint mdogo tu, hapo kwenye unene mie si mnene sana nipo kawaida ila mitihani tu ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kawe kwa mtumishi mwamposya kamuelezee tatizo lako yeye amepewa kibali cha kusikilizwa haraka na Kujibiwa na Mungu


Sent by iOS
 
Back
Top Bottom