Tatizo la kuota vinyama ukeni

Hizo ni vaginal warts na vinazidi ukiwa na mimba kwa sababu ya Hormones, mara nyingi havina madhara makubwa zaidi ya kujisikia vibaya wakati wa kuvunja katiba ya warioba hivyo sio mbaya ukamwona Gyno aliyekaribu akupe ushauri/dawa
 
Wewe umejuaje haya mambo ya Siri ya nduguyo?? Si useme tu kuwa mgonjwa ni wewe?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…