Tatizo la kupata choo kwa aliyepatwa na stroke

kilama

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
2,745
Reaction score
1,989
Wadau habarini za jioni...!!!

wapendwa nakuja tena mbele yenu, nina mgonjwa wangu amepatwa na tatizo la stroke na yupo hospitali kwa matibabu ila tangu alazwe sasa ana wiki moja isipokuwa hajapata choo (stool) hadi sasa japo haja ndogo anaipata.

naombeni ushauri wenu wakuu.
asanteni....!!1
 
Kukosa choo kunasababishwa na sababu nyingi, kama bado yuko hospitali dawa za maumivu anazotumia pia huenda pia zikasababisha kutokupata choo. Ongea na daktari, ikiwezekana apate movicol au badala yake. Pia kumshauri kunywa maji pia itamsaidia.
 
anakula vizuri ?maana wagonjwa wengi hawali vizuri kwaiyo inakuwa ngumu kupata choo vizuri
pole sana kuuguza mkuu
asante sana ndugu, anakula japo pale anapopata hamu anaweza kuomba aina ya chakula anachokitaka na maji liankuwa ni suala la lazima kidogo kunywa..!!
 
Kukosa choo kunasababishwa na sababu nyingi, kama bado yuko hospitali dawa za maumivu anazotumia pia huenda pia zikasababisha kutokupata choo. Ongea na daktari, ikiwezekana apate movicol au badala yake. Pia kumshauri kunywa maji pia itamsaidia.
asante sana, maji anakunywa japo wakati mwingine ni kwa ulazima kidogo na ilipelekea kushauriwa tumnyweshe supu ya makongoro( ng'ombe, mbuzi n.k) na tulipomnyeshwa ni kweli alipatwa na kiu na maji alikuwa anakunywa. tatizo pia ana presha
 
me
asante sana ndugu, anakula japo pale anapopata hamu anaweza kuomba aina ya chakula anachokitaka na maji liankuwa ni suala la lazima kidogo kunywa..!!
ni juice sana
nyanya,karoti na matango na mapapai
 
angekuwa hana pressure ungempa juice ya kitunguu swaumu asubuhi kabla hajala kitu akinywa tu dakika kumi mbele lazima aende choo
 
asante sana, maji anakunywa japo wakati mwingine ni kwa ulazima kidogo na ilipelekea kushauriwa tumnyweshe supu ya makongoro( ng'ombe, mbuzi n.k) na tulipomnyeshwa ni kweli alipatwa na kiu na maji alikuwa anakunywa. tatizo pia ana presha
Kama hapendi maji hata chai isiyo na sukari nyingi au diluted juice pia inaweza kusaidia, stroke imeafect ulaji au uongeaji? Kama pressure iko controlled kwa sasa ni kumshauri apate some sort of liquid in take to keep hydration level in a good balance, kama kunywa maji ni ngumu madaktari wanaweza kushauri awekewe drip, kitu ambacho mnaweza kukizuia kwa kumpa maji kidogo kidogo.
 
angekuwa hana pressure ungempa juice ya kitunguu swaumu asubuhi kabla hajala kitu akinywa tu dakika kumi mbele lazima aende choo
asante sana Miss Natafuta..!!!
 
stroke imemuafect kwenye kuongea, mkono pamoja na mguu.
 
angekuwa hana pressure ungempa juice ya kitunguu swaumu asubuhi kabla hajala kitu akinywa tu dakika kumi mbele lazima aen
asante sana Miss Natafuta..!!!
kuweni wavumilivu stroke inaitaji muda mgonjwa kuwa normal mkuu
 
ok lakini juice haiwezi ikaleta madhara kwa upande wa pressure? kwa maana ya ile sukari ya juice
Iwe diluted just to get some test ikiwezekana just a drop of Ribena, kwakuwa umesema hapendi plain water.
 
h

hapana, vyote ni upande wa kushoto!
Kwahiyo stroke imeaffect upande wa kulia, kwahiyo issue sasa ni kukontrol blood pressure, na diet kuavoid second stroke. Ana umri gani samahani.
 
Kama hana tatizo la sukari msagie papai, tikiti maji na asikose parachichi. Kama unaweza kuchanganya juice ya ukwaju na parachichi iliyopondwa. Hiyo inalainisha choo sana- in fact anaweza hata kuharisha kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…