kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
Wadau habarini za jioni...!!!
wapendwa nakuja tena mbele yenu, nina mgonjwa wangu amepatwa na tatizo la stroke na yupo hospitali kwa matibabu ila tangu alazwe sasa ana wiki moja isipokuwa hajapata choo (stool) hadi sasa japo haja ndogo anaipata.
naombeni ushauri wenu wakuu.
asanteni....!!1
wapendwa nakuja tena mbele yenu, nina mgonjwa wangu amepatwa na tatizo la stroke na yupo hospitali kwa matibabu ila tangu alazwe sasa ana wiki moja isipokuwa hajapata choo (stool) hadi sasa japo haja ndogo anaipata.
naombeni ushauri wenu wakuu.
asanteni....!!1