Nawasalimu na kuwatakia afya njema, naomba kujuzwa mzee wangu mwenye umri wa miaka 83 amepata hali ya kupoteza kumbukumbu hii haijitokezi mara kwa mara, anasahau mambo yanayotokea muda huu kama vile kukumbuka mtu aliyekuja na kuondoka baada ya kumsalimia lakini vile vya zamani vyote anavikumbuka vizuri sana mfano majina ya rafiki zake,shule aliyosoma, ofisi aliyofanya kazi na vinginevyo.
Kwa vile hali hii ndo kwanza inaanza ningependa kujuwa kama kuna msaada wowote wa kukabiliana nayo kabla hali haijawa mbaya zaidi, naomba niwakilishe.
Kwa vile hali hii ndo kwanza inaanza ningependa kujuwa kama kuna msaada wowote wa kukabiliana nayo kabla hali haijawa mbaya zaidi, naomba niwakilishe.