Wana-jamii wenzangu mimi nina tatizo la kupumua kwenye chumba kidogo, ama kwenye korido ndefu isiokuwa na uingizaji wa hewa fresh kutoka nje.
Aidha, nikipanda lift mara mlango unapofungwa hupata tabu sana ya kupumua, mara kadhaa hushindwa kuendelea na safari yangu ya floor ninayokwenda. Aidha, hupata tabu sana nipandandapo gari ndogo ikifungwa vioo pia hushindwa kupumua vizuri.
Nilipata maelezo kutoka kwa baadhi ya jamaa kuwa tatizo hilo ni upungufu wa hewa ya oksijen ktk mzunguuko wa damu mwilini mwangu.
Naomba ushauri kuhusu tatizo hili kwani nimekua napata shida sana mara inapotokea kupanda usafiri wa gari lililofungwa vioo licha ya kuwa na kiyoyozi ndani.
Aidha, nikipanda lift mara mlango unapofungwa hupata tabu sana ya kupumua, mara kadhaa hushindwa kuendelea na safari yangu ya floor ninayokwenda. Aidha, hupata tabu sana nipandandapo gari ndogo ikifungwa vioo pia hushindwa kupumua vizuri.
Nilipata maelezo kutoka kwa baadhi ya jamaa kuwa tatizo hilo ni upungufu wa hewa ya oksijen ktk mzunguuko wa damu mwilini mwangu.
Naomba ushauri kuhusu tatizo hili kwani nimekua napata shida sana mara inapotokea kupanda usafiri wa gari lililofungwa vioo licha ya kuwa na kiyoyozi ndani.