ktroshaban
Member
- Nov 6, 2015
- 42
- 95
SijakuelewaAliekudanganya kuwa mtoto anatafutwa kwa upande mmoja tu peke yake bila kumshirikisha mwanamke ni nani?....ni rahisi sana mwanamke kutafuta mtoto na kumpata ndani ya sekunde moja ila ni ngumu sana kwa mwanaume peke yake kumtafuta mtoto na kufanikiwa kumpata bila kumshirikisha mwanamke!
MamboWe tafuta mke. Si kila ukikutana kimwili na Mwanamke, basi anapata mimba. Ingekuwa hivyo, basi Dunia hii ingekuwa imefurika wanadamu.
Hivyo, ondoa hofu kuwa HAUZAI!
Mkuu kapime Sperm (Shahawa) zako huenda hazina nguvu ya kumshikisha Mwanamke mimba.Nipeni mawazo na msaada wenu,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba.
Tatizo ni nini wanajamii
Nipeni mawazo na msaada wenu,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba.
Tatizo ni nini wanajamii
Miaka miwili imepita ndio unamquote mwenzio kwamba hujaelewa are you you?Sijakuelewa