Tatizo la kushindwa kumuangalia mtu usoni mkiwa mnaongea

Tatizo la kushindwa kumuangalia mtu usoni mkiwa mnaongea

Nitapenda unifundishe hilo, vipi siye ambao tunapenda kusikiliza na kuelewa kutumia masikio na ubongo zaidi kuliko macho. Watu mnaopenda kukazia macho watu mnaoongea nao mtakuwa na hulka ya kutowaamini wengine au mna hisia kali za kudanganywa au kusalitiwa....au tuseme mnapenda attention sana hasa mademu.
Sijasema usitumie hisia wala ubongo na viungo vingine ila nimesema macho ni njia mojawapo ya body language communication kama utumiavyo viungo vingine yana umuhimu wake nadhani hujanielewa!Na nimesema sio kukodoleana macho pia soma unielewe!Kumtazama mtu akiongea sio kutaka attention we unatokea sayari gani?mfano upo kwenye job interview unaongea huku unaangalia chini inatoa ishara gani huwezi hata kujieleza na kukutanisha macho na mtu lol
 
Sijasema usitumie hisia wala ubongo na viungo vingine ila nimesema macho ni njia mojawapo ya body language communication kama utumiavyo viungo vingine yana umuhimu wake nadhani hujanielewa!Na nimesema sio kukodoleana macho pia soma unielewe!Kumtazama mtu akiongea sio kutaka attention we unatokea sayari gani?mfano upo kwenye job interview unaongea huku unaangalia chini inatoa ishara gani huwezi hata kujieleza na kukutanisha macho na mtu lol
Ukitazama mbele kwa interviewers ni lazima kuwakazia macho, mimi kumtazama mtu machoni labda nina ishu serious na yeye....mfano demu mkali kama wewe nitavutiwa zaidi kukutazama machoni and throughout....
 
Hili ni tatizo la kisaikolojia ambalo nimegundua watu Wengi tunalo.

Mtu mnaonge yeye anaangalia chini. Ni uwoga na kukosa kujiamini. Ni vizuri tukaangalia wapi tunafeli.

Mimi binafsi watu walionizidi umri siwezi kuwakazia macho usoni ila watoto nawaangalia na wananielewa.
Ukiona mtu hakutazami anamisha macho jua kuna mengi ndani yake ikiwemo udanganyifu
 
Hili ni tatizo la kisaikolojia ambalo nimegundua watu Wengi tunalo.

Mtu mnaonge yeye anaangalia chini. Ni uwoga na kukosa kujiamini. Ni vizuri tukaangalia wapi tunafeli.

Mimi binafsi watu walionizidi umri siwezi kuwakazia macho usoni ila watoto nawaangalia na wananielewa.
Kuna tofauti kubwa ya kumwangalia mtu usoni na kumwangalia machoni.
Watu wengi huangaliana usoni na sio machoni.

Kumkazia dume mwenzio macho usoni ni kipaji.
 
Back
Top Bottom