CHRISSIE255
JF-Expert Member
- Jan 21, 2020
- 221
- 180
Wadau samahani naombeni kujua tatizo la mapasheni kusinyaa na kudondoka chini kabla ya kukomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu habari, vp ulifanikwa kupata jibu la swali lako?Wadau samahani naombeni kujua tatizo la mapasheni kusinyaa na kudondoka chini kabla ya kukomaa.
View attachment 1359315
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habari, vp ulifanikwa kupata jibu la swali lako?
Na je unafanya kilimo cha Passion?
Maana mimi nataka nianze kulima ila nataka nipate uzoefu
Huwa hatuhitaji mbolea zenye Nitrogen katikà kipindi cha tunda maana hizi ni kwa ajili ya ukuaji hivyo hapo mbolea rasmi ni zile zenye Potassium na Calcium iwe kwa kuweka chini (Basal fertilizer) au Foliar fertilizer mfano ni Yara mila Nitrobar (Potassium) na Calcinity (Calcium) na kwa foliage ni mult k (Potassium) na Calmax (Calcium) pia puliza sumu ya wadudu wanaofyonza plant sap hasa zenye Imidacloprid au Cypemethrylin mfano duduba au imida C